Apple Iphone 12 is finally here

Mnajipa moyo utadhani wanatengeneza juice za azam.

Hizo chip sets zinahitaji years of research K

Unaongea kirahisi kama unatengeneza juisi za azam.

Huawei mwakani anakufa kifo cha mende.

Ni sawa na uwaambie Boeing wanaotengeneza ndege na vifaa vyote ndani ya ndege watengeneze wao.

Hata apple hatengenezi kila kitu kwake ni OS na Chip Set, vingine anaagiza
Mwaka Huu Kirin 9000 ndio kawabatua na hiyo Mwakani unayosema Huawei watakufa kifo cha mende Kirin ipo kama kawaida watu washapewa green light huko we endelea na stori za kuuza miwa.
 
mfano mzuri hio mate 40 inakuja na cortex A77, ina maana Huawei ameshindwa kupata Cortex A78 ama cortex X1 zitakazokuja kwenye Samsung na simu Nyengine za Snapdragon, ameshindwa kupata sababu Arm ni mshirika wa marekani.

hata Huawei akiwa na Os yake na kiwanda cha semi conductor, bila tech ya arm atatengeneza nini?

jeneza la Huawei lilifungwa pale Nvidia aliponunua Arm toka kwa softbank. sasa hivi watatumia stock yao ya soc zikiisha hawatengenezi tena simu, na si maneno yangu haya

Huawei: Smartphone chips running out under US sanctions
Hakuna Jeneza na wala Hafi mtu.

 
Kama kushindwa kushikilia cm ndo u gimmick wenyewe basi itakuwa gimmick . Lakini kazi ya magsafe siyo hiyo hata ukienda web ya Apple Hamna kitu kama hicho. Ile siyo holder mkuu ni charger
Najua.

Ila kwenye purukushani unaweza kuweka simu yako ikatoka. Inakuwa kama unachajia Chi.
 
Mwaka Huu Kirin 9000 ndio kawabatua na hiyo Mwakani unayosema Huawei watakufa kifo cha mende Kirin ipo kama kawaida watu washapewa green light huko we endelea na stori za kuuza miwa.
Akili zako ndo zinakuambia kwamba watu wananunua simu kisa processor.
 
Kinachowafanya waendelee kuwa juu ni brand loyalty. Sijaona kampuni nyingine yenye wateja loyal kama Apple...nadhani kama blackberry angedumu mpk leo ndio angeweza mpa shida stahili tunda
Unaitwa ukondoo, usiopambe kwa kuuita u loyal, ni ukondoo.
 
Umeelewa kilichoandikwa hapo? Unaijua 28nm?
Kwamba wakitumia 28nm ndio wataacha kutengeneza simu ?

 
Kwamba wakitumia 28nm ndio wataacha kutengeneza simu ?

Haya ni mambo ya laptop hayana mahusiano yoyote na simu, na laptop za Huawei ni kidogo sana hazina impact yoyote, pia wanauza tu huko kwao China.
 
IMG_0477.jpg

IMG_0478.jpg
 
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.

Ila siku Iko fresh kabisa
 
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.

Ila siku Iko fresh kabisa
Kama hiyo simu ipo na warranty irudishe dukani wakupe nyingine.

Hakikisha unaijaribu hapohapo. Kama itasumbua na hiyo mpya inawezekana shida ikawa mtandao wa simu unaotumia.
 
Kama hiyo simu ipo na warranty irudishe dukani wakupe nyingine.

Hakikisha unaijaribu hapohapo. Kama itasumbua na hiyo mpya inawezekana shida ikawa mtandao wa simu unaotumia.
Za Makumbusho hazina Warranty Mkuu😁😁
 
Back
Top Bottom