Apple iMac pro 128gb ram 2tb SSD

DUMEGUY

JF-Expert Member
Aug 15, 2014
500
204
inakuja December itakua na uwezo wa kua na ram hadi 128gb na storage 2tb ssd ina 18cores na itatumia processa ya XEON....naiita monster.

BU-MCo9l9gh.jpg
 
kwa technology ya sasa ni kawaida mkuu, ddr4 kuna ram hadi za gb 128 na hio ni ram moja tu, tegemea na motherboard unaweza weka ram zaidi ya moja.

kwa computer ya kawaida inaingia slot 4 za ram hivyo unaweza ukaeka hadi GB 512 za ram, na ukija motherboard za server/workstation unaweza zidi zaidi ya hapo.
 
Kwa huku kwetu haitatumika sana, after all Waafrika si watu wa kucheza computer games kwa sana, tuna ma issue mengi sana vichwani.
 
Kwa huku kwetu haitatumika sana, after all Waafrika si watu wa kucheza computer games kwa sana, tuna ma issue mengi sana vichwani.
128GB sio za games, ni za workstation. Tanzania wapo watu wana matumizi hayo, hata wewe unaweza ukiamua, just unaeka virtual mashine unarun windows, android, osx, na distro za linux kwa pamoja, unaijaza faster tu hio ram.
 
128GB sio za games, ni za workstation. Tanzania wapo watu wana matumizi hayo, hata wewe unaweza ukiamua, just unaeka virtual mashine unarun windows, android, osx, na distro za linux kwa pamoja, unaijaza faster tu hio ram.

Ukisema workstation una maanisha sehemu ambayo mfanyakazi anakaa kwenye desk la kazi, si ndio? Yani end user, au?

Nipe mfano wa mfanyakazi ambae kazini kwake kwenye computer moja anatumia Windows, Android, OSX, ma distro mbali mbali ya LINUX.

Software developer?
 
Ukisema workstation una maanisha sehemu ambayo mfanyakazi anakaa kwenye desk la kazi, si ndio? Yani end user, au?

Nipe mfano wa mfanyakazi ambae kazini kwake kwenye computer moja anatumia Windows, Android, OSX, ma distro mbali mbali ya LINUX.

Software developer?
hapana hizo ni office computer tu, workstation inakuwa na nguvu kuliko computer ya kawaida na hutumika kwenye vitu technical, kufanyia research etc.

mfano photoshop tu au image editing software inaweza ikatumia ram yote hio, hasa kwa wale wanao edit picha zenye resolution kubwa ambazo zina step nyingi nyingi.
 
Back
Top Bottom