Siyo nabisha tuu nina uwezo mkubwa wa reasoningMkuu unabishana na muuzaji.
Habari waheshimiwa
Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi)
sifa zake
Hdd 500gb
ram 2gb (inaongezwa)
nch 24 wide
processor 2.8ghz
core 2 duo
graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256 MB
zinasoma DvD NA CD za aina zote
Napatikana KARIAKOO mt uhuru na MACHINGA COMPLEX floor 4
call/whatsapp 0714689280
Pia tuna desktop zingine za aina zote
MIKOANI TUNATUMA MALIPO BAADA YA KUPOKEA ( vigezo na mashart kuzingatiwa).
View attachment 1697456View attachment 1697457
NJOO TUKUUZIE BASI TUNAKUPA NA LISITI NA WARRANTY JINA NI APPLE JE INA SIFA GAN NDANI USIANGALIE HARD DISK NA RAM KUNA VITU WAJUZI/WATAALAM WANAJUA BOSS...karibu sanaNijuavyo mimi kwa sifa ya hiyo brand hata mbovu hupati kwa hiyo bei
imeisha boss ila ilikua ni ya 90-2000Za mwaka gani hizi ? Zinaenda mpaka os ipi? Yaan upgrade ?
ndugu ivi unajua izo zinatoka wapi apa dar hasa used na uko wanauza sh ngap afu ungejua apa kariakoo zinauzwa lak nne na nusu sasa mimi kuuza 380 ajabu nini au aupo mjini mpka unashangaa na pia jua iyo ni core 2 duo tu. pia kuna i3,i5 na i7 uko ndio akugusiki kabsaaSiyo nabisha tuu nina uwezo mkubwa wa reasoning
kioo cha ndani bei kidogo ila ile show ya nje tu laki moja ambayo inaziba mbeleHiko kioo cha apple tu kinaenda shilling ngap
Mkuu umesahau.Ahsante kwa taarifa...