Apple ijiandae kuzikwa na ni dalili mbaya kwa Samusng

KijanaHuru

JF-Expert Member
Jan 7, 2017
1,822
2,290
Habari tena ndugu zangu,

Hapo majuzi tumeshuhudia vita za kiuchumi zinazoendela zidi ya mataifa yenye misuli zaidi.

Huku Huawei wakionekana kama walipigwa kombora la kutosha kwa kuweza kushindwa kufanya kazi na google
jambo la kushangaza ni kwamba siku mbili hizi zilizopita wameweza kutangaza simu mpya kabisa inayotoka jambo ambalo limekuwa ni gumzo kidogo kwa mataifa yaliyotegemea Huawei kuporomoka.

Na zaidi ya yote jana Huawei wametangaza Platfom yao mpya na mfumo wao mpya kabisa wa simu

Wamekwisha sajiri ARK OS
Ambapo OS yaio itakuwa na mifumo miwili mfumo wa nyumbani(China) na mfumo wa mataifa mengine.

Na pia wametengeneza ni mfumo ambao wakwao peke yao utakaotumika kuoparate simu zao na pamoja na Computer zao
kwa maana nyingine ni kwamba la Computer likifanikiwa sio ajabu tukaanza kuona vijicho wao na Microsoft kumbuka hii ni biashara ni ubunifu na urahisi ndio unasimama zaidi kuliko ukongwe ndio maana marekani anasumbuka sana na Huawei

Kwahiyo Operating System yao itakwenda kwa jina la "Huawei Hongmeng" ambapo katika simu ndio itakuwa ndio Ark Os

Kwa kuongeza tu tukumbuke kuwa teknolojia aliyonayo china hakuna taifa lolote duniani linaimiriki na tukumbuke ndio teknolojia ambayo pekee imechochea na nchi nyingi kuweza kuendelea katika uchumi.

Mfano Kumbuka bila China leo hii tusingekuwa na bajaji wala boda boda
enzi hizo anamiliki mchungaji one 10 na mwenyekiti kwa mtendaji na bwana mifugo wana xl honda.

Lakini pia wakati huo huo kumbuka mchina anaweza kutengeneza bidhaa ya aina yoyote, kwa ubora uleule na akauza kwa bei ya chini ama ya nafuu ambapo hakuna taifa linaweza kufanya hivyo
Marekani wana bidhaa kibao ambazo hazinunuliwi kwa wingi kwake na zimezidiwa na nchi ya china.

Sisemi Mengi sana unaweza kusoma hapa zaidi juu ya huawei
hapa



Guys najua hapa tunabishana tu ili kupoteza muda, ila reality ni kwamba Huawei ni giant, msiichukulie simple kwa kuwa simu zake ni za bei rahisi. Hawa jamaa wame deliver 5G ahead of its time. Si watu wa mchezo. Ila hii game ilishaanza kuchezwa kitambo sana. Samsung, Huawei, etc walitangaza kitambo kuwa watatoa simu za 5G 2019, ila Iphone yeye alijitoa akasema simu za 5G kwake zitachelewa. Mimi ni mtumiaji wa Iphone na Samsung, ila sasa hivi ndo nimegundua kuwa kuna dirty games zinachezwa, na zile statement kuhusu 5G zilizotolewa zaidi ya mwaka 1 uliopita zinathibitisha hilo. Lakini mwisho wa siku loser atakuwa US kwa sababu anategemea 90% ya rare earth minerals kutoka China. Na hizi minerals ndo zinazotumika kutengeneza technological equipment nyingi unazoziona leo hii.

io cio. yakusubiri kwa sis wenye huawei tayari inafnya kaz zaman sana.. View attachment 1111964View attachment 1111965
 
Hizi ni habari njema kwa wapenzi wa huawei smartphones

Na kumbuka wanakuja pia na app store yao itakayojulikana kama Huawei AppGallary kama mbadala wa Playstore na wanasema application zote za android zitafanya kazi kama kawaida

Tusubiri tuone
 
Hizi ni habari njema kwa wapenzi wa huawei smartphones

Na kumbuka wanakuja pia na app store yao itakayojulikana kama Huawei AppGallary kama mbadala wa Playstore na wanasema application zote android zitafanya kazi kama kawaida

Tusubiri tuone
Yeah ndio hivyo ndugu
 
We kijana huru Bajaj zinatengenezwa China au India na Founders wake ni wachina au Wahindi? neno lenyewe Bajaj ni lakihindi.

China anamiliki Teknolojia gani ambayo haipo kwingine?
Swali jingine Hiyo OS ya Hongmeng haijaanza kuwepo jana wala juzi ipo siku nyingi je ina Developers wa kutosha??

Kumbuka Biashara kubwa ya Huawei si simu ni Infrastucture za kuwezesha masimu na computer kufanya kazi mbalimbali, MIMI SI MJUZI WA HAYA MAMBO ila nafahamu Huawei Simu zake na Computer zake hazina soko.

Katika waTanzania Million 21 wanaotumia simu sizani hata kama wanafika 10K wenye Huawei smartphone wala Computer wenyewe ni maGodfather wa madude kama 4G maminara n.k
 
We kijana huru Bajaj zinatengenezwa China au India na Founders wake ni wachina au Wahindi? neno lenyewe Bajaj ni lakihindi.

China anamiliki Teknolojia gani ambayo haipo kwingine?
Swali jingine Hiyo OS ya Hongmeng haijaanza kuwepo jana wala juzi ipo siku nyingi je ina Developers wa kutosha??

Kumbuka Biashara kubwa ya Huawei si simu ni Infrastucture za kuwezesha masimu na computer kufanya kazi mbalimbali, MIMI SI MJUZI WA HAYA MAMBO ila nafahamu Huawei Simu zake na Computer zake hazina soko.

Katika waTanzania Million 21 wanaotumia simu sizani hata kama wanafika 10K wenye Huawei smartphone wala Computer wenyewe ni maGodfather wa madude kama 4G maminara n.k
Ukingalia ulipo hautaona madhara ila ukiangalia wordwide ndio unaweza kuona madhara yake
umejaribu kuziangalia huawei p series?
Kama umebahatika kuziona hizo nadhani unaweza jua kwanini Iphone amefunikwa na huawei na kwanini usa anapata shida

Pia kama Huawei asingekuwa na madhara huyo uSa asingeweza kuleta vurugu ila akae akijua zama zinabadirika
na kwa taarifa yako kwa mwaka jana Apple alizidiwa na huawei kwa smarkkali ya mwaka samsung akiongoza

suala ni hata kama teknolojia ndogo kwanini mnapata shida mnapozidiwa?
 
Habari tena ndugu zangu
Hapo majuzi tumeshuhudia vita za kiuchumi zinazoendela zidi ya mataifa yenye misuli zaidi
Huku Huawei wakionekana kama walipigwa kombora la kutosha kwa kuweza kushindwa kufanya kazi na google
jambo la kushangaza ni kwamba siku mbili hizi zilizopita wameweza kutangaza simu mpya kabisa inayotoka
jambo ambalo limekuwa ni gumzo kidogo kwa mataifa yaliyotegemea Huawei kuporomoka
Na zaidi ya yote jana Huawei wametangaza Platfom yao mpya na mfumo wao mpya kabisa wa simu

Wamekwisha sajiri ARK OS
Ambapo OS yaio itakuwa na mifumo miwili mfumo wa nyumbani(China) na mfumo wa mataifa mengine
Na pia wametengeneza ni mfumo ambao wakwao peke yao utakaotumika kuoparate simu zao na pamoja na Computer zao
kwa maana nyingine ni kwamba la Computer likifanikiwa sio ajabu tukaanza kuona vijicho wao na Microsoft kumbuka hii ni biashara ni ubunifu na urahisi ndio unasimama zaidi kuliko ukongwe ndio maana marekani anasumbuka sana na Huawei

Kwahiyo Operating System yao itakwenda kwa jina la "Huawei Hongmeng" ambapo katika simu ndio itakuwa ndio Ark Os

Kwa kuongeza tu tukumbuke kuwa teknolojia aliyonayo china hakuna taifa lolote duniani linaimiriki na tukumbuke ndio teknolojia ambayo pekee imechochea na nchi nyingi kuweza kuendelea katika uchumi.

Mfano Kumbuka bila China leo hii tusingekuwa na bajaji wala boda boda
enzi hizo anamiliki mchungaji one 10 na mwenyekiti kwa mtendaji na bwana mifugo wana xl honda,
Lakini pia wakati huo huo kumbuka mchina anaweza kutengeneza bidhaa ya aina yoyote, kwa ubora uleule na akauza kwa bei ya chini ama ya nafuu ambapo hakuna taifa linaweza kufanya hivyo
marekani wana bidhaa kibao ambazo hazinunuliwi kwa wingi kwake na zimezidiwa na nchi ya china

sisemi Mengi sana unaweza kusoma hapa zaidi juu ya huawei
hapa
Naona mshabiki wa China kaamka!

Ni vizuri mkuu kua na ushabiki mkali namna hii!

Yaani unaisifia mpaka umepitiliza...

Yaani unaifanya China ionekane kama tembo fulani hivi halafu kenge wengine wote ni sisimizi which is no the case!
 
Ni kweli mchina anajitahidi sana,kwa njia halali na haramu,ila Mchina Mchina tu,bora wamdhibiti maana anajisahau sana,kuona kishakua sawa nao wakati yeye bingwa wa kukopi.
 
Back
Top Bottom