mgeni3
JF-Expert Member
- Jun 4, 2010
- 228
- 63
katika pita pita zangu nimekutana na hiyo kitu last week, at the time being nlikuwa sina simu ya kujaribia jana nimejaribu it works kwa all iphone models na ipad + ipod touch, the only backside ni ishu ya bootloop na hupati mobile network kitu inakuwa kama ipad by so far jamaa wamefikia mbali coz bado ni work in progress.... kinachofanyika ni kwamba wametengeneza server yao ambayo inabehave kama apple activation server kwahiyo badala ya kuactivate simu, ipad au ipod yako kupitia servers za apple unatumia zao kwa kuedit hosts files ndani ya windows... this process inatumia itune hii hii ya apple except kwa server ambayo ndo unatumia ya doulci kwa wakati itakapo kuwa online.
source; doulCi, Hackers Bypass Appleâs iCloud Activation Lock
HACKERS wanaohusika na hiyo kitu ni https://twitter.com/MerrukTechnolog/with_replies, https://twitter.com/AquaXetine/with_replies HAWA WOTE KUTOKA DOULCI
Ukiacha hao pia kuna hackers kama https://twitter.com/ragemasta na https://twitter.com/minacrisOficial
source; doulCi, Hackers Bypass Appleâs iCloud Activation Lock
HACKERS wanaohusika na hiyo kitu ni https://twitter.com/MerrukTechnolog/with_replies, https://twitter.com/AquaXetine/with_replies HAWA WOTE KUTOKA DOULCI
Ukiacha hao pia kuna hackers kama https://twitter.com/ragemasta na https://twitter.com/minacrisOficial