binamubingwa
New Member
- Nov 5, 2016
- 3
- 0
Hatimae aplication ya onlinetv wameziondoa chanels za azam tv na baadhi ya channel za nje ya Tz
Mkuu application gani hii unapata hadi Chanel Za supersport.. Naomba unifundishe tafadhaliHatimae aplication ya onlinetv wameziondoa chanels za azam tv na baadhi ya channel za nje ya Tz
Hatimae aplication ya onlinetv wameziondoa chanels za azam tv na baadhi ya channel za nje ya Tz
Mkuu hata usidate wala sio mzigo wa supersport ya kwa madiba hii ni super sport ya porini,hii app niliipakua mwanzoni kabisa alipoileta tukatoa mapendekezo ila naona kama hailekei vizuri kwakuwa anapambana kujaza machannel mengi angeanza na channel chache aone inapokelewa vipi ndio baadae aanze kuadd moja moja,kwa aliesema Azam imetolea sijatest bado ila naona bora tu itolewe maana haikuwa na msaada,kwanini nasema hv Ile channel ilikuwa ikipigwa tu match ya kibongo basi hiyo channel hutaiipata mpaka match iishe ai itakuwepo inakata kila seconds nikajaribu hata kumtxt toka kwenye app maana alikuwa anapokea comments,mengine aliyatolea majibu ya jinsi ya kuboresha ila hilo LA match local hakuwahi jibu,Mkuu application gani hii unapata hadi Chanel Za supersport.. Naomba unifundishe tafadhali