Acha uccmDawa inanunuliwa kwa control number?
Kifupi tu wabongo sio watu wa kujali, hapo unaweza kuta jamaa alikuwa anaforce kuingia hata Kama hakuruhusiwa
Nafikir hujaenda kweny hospitali kubwa za mikoa na kanda kwa muda mrefu siku hizi hatutumii mifumo ya cash tunatumia mifumo ya wizarani kama GOTHOMIS na Afya hii ni mifumo ya malipo na utabibu hosp mpaka vituo vya afyaDawa inanunuliwa kwa control number?
Kifupi tu wabongo sio watu wa kujali, hapo unaweza kuta jamaa alikuwa anaforce kuingia hata Kama hakuruhusiwa
Halafu desturi ya kucharazwa viboko huko kume kitu cha kawaida yaani hadi walimu hulazwa chini na MaDC tena mbele ya wanafunzi, hebu ona hizi taarifa hadi hurum bana Walimu wacharazwa bakora tena, mbele ya wanafunzi wao!!
Hiyo hapo Tomaso.Mbona video yenyewe ni video mnato mkuu?
Unakimbuka yule Mdau Wa soka tanga Meneja Wa zamani Wa muumini mwinjuma aliyuwawa December mwaka Jana Kwa kipigo cha suma jkt kisaa wamemwagiwa maji na pikipiki,au inahalalisha hiyoMtaanza kumjaji askari bila kujua chanzo chake ni nini,,, Binafsi askari hawezi fanya maamuzi pasina kuwa na sababu, labda awe askari chizi hapo sawa.
Unakimbuka yule Mdau Wa soka tanga Meneja Wa zamani Wa muumini mwinjuma aliyuwawa December mwaka Jana Kwa kipigo cha suma jkt kisaa wamemwagiwa maji na pikipiki,au inahalalisha hiyo
Mkuu fanya uchunguzi uoneHao ushamba na ulimbukeni ndio unawasumbua hakuna cha depo wala nini.
Kipande kifupi cha video tulichotumiwa na Lydia Lefi, Mkazi wa Shinyanga cha tukio la Walinzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kumchapa mikanda kijana ambaye amedai ni mdogo wake kwa kosa la kupitiliza muda wa kuona wagojwa katika hospitali hiyo.
Kwa mujibu wa maelezo ya Lydia anasema, kaka yake huyo Daudi Lefi (anayepigwa) alipewa Control namba ili akanunue dawa kwa ajili ya mama yao ambaye amelazwa katika hospitali hiyo, lakini jina halikuonekana na aliporudi kuhoji kwa daktari ndipo mlinzi akamtoa nje akidai muda umekwisha wa kuona wagonjwa, ndipo mlinzi huyo akaanza kumsukuma kumtoa nje na baada ya mabishano akavua mkanda na kuanza kumchapa.
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospital hiyo,Luzila Boshe amekiri kutokea kwa tukio hilo na kubainisha atatoa taarifa kamili baadae.
Kwahio story ikibalance walinzi wanakibali chakukutandika ngumi?
Alinisikitisha mkuuHuyo anaonekana ametoka kusomea uandishi wa habari, na mada aliyosoma leo ni hiyo ya story balancing kwahiyo yupo kupractice, msamehe bure