Wewe bwege!Kwahio story ikibalance walinzi wanakibali chakukutandika ngumi?
Kwa uandikaji wako ni lazima utakua unanuka mdomoWewe bwege!
Maana ya balanced story ni kuujua ukweli toka upande wa pili huenda huyo anaedaiwa kupigwa ndie alianza kupiga au kuna lingine zaidi ya kuchelewa kutoka wodini.
Pia malipo kwa gharama za mgonjwa hayafanyiki wodini bali kwenye dirisha la malipo.
Henda hilo jamaa ni wale wezi wanawaibia wagonjwa waliolazwa wodini vitu kama simu,pesa na kadhalika.
Halafu akakimbilia humu JF kuleta thread yeye mwenyewe halafu majuha tunadandia na kuanza bofya bofya bila kuujua ukweli.
Story balancing ndio msingi wa ETHICS za utoaji na uandishi habari.
Acha UFALA!
Hawa maafande wafundishwe kuhoji mtu,maana kwa mwendo huu wataongeza wagonjwa wasio wa lazima kwa vipigo.Wakuu mambo yanazidi kunoga nchini Tanzania, baada ya vipigo kwa raia kurasimishwa rasmi.
Video hii inawaonyesha wanaodaiwa kuwa walinzi wa hospitali ya Mkoa wa Shinyanga wakimtandika bila huruma mtu aliyedaiwa kuzidisha muda wa kuona wagonjwa.
Kama mganga mkuu kasema limetokea kweli uhoji nini!?Wewe bwege!
Maana ya balanced story ni kuujua ukweli toka upande wa pili huenda huyo anaedaiwa kupigwa ndie alianza kupiga au kuna lingine zaidi ya kuchelewa kutoka wodini.
Pia malipo kwa gharama za mgonjwa hayafanyiki wodini bali kwenye dirisha la malipo.
Henda hilo jamaa ni wale wezi wanawaibia wagonjwa waliolazwa wodini vitu kama simu,pesa na kadhalika.
Halafu akakimbilia humu JF kuleta thread yeye mwenyewe halafu majuha tunadandia na kuanza bofya bofya bila kuujua ukweli.
Story balancing ndio msingi wa ETHICS za utoaji na uandishi habari.
Acha UFALA!
Mhanga huyo alipohojiwa alikiri kuzidisha muda uliopangwa ili kuona wagonjwa lakini anadai kwamba kilichomchelewesha ni kusubiri taarifa ya gharama za matibabu ya ndugu yake ili mipango ya malipo ifanywe.
Subiri nikipata fursa nitakuewekea hizo video za mnavyo charazwa viboko na viongozi wakiwemo hata viongozi wa kike, mnaitia Afrika aibu kwa kweli...hehehehe
Mbona na nyie mnacharazwa na wachovu Alshabab na hatusemi!! 🤣
Alshabaab ni vita vya ugaidi kama tulivyoona kule kusini Watanzania wanachinjw kama mbuzi, ni kitu cha kukemewa na kila mmoja, ila hili la kiongozi mwanamke kucharaza viboko wanaume wenye miraba miine, mijitu mnaitia Afrika aibu...
Ntakuletea hiyo video nikipata fursa ila kwa sasa burudika na hii nyingine uone mlivyoo hovyoo
nenda kajifanye unayumba kwenye gate lolote.Kwahio story ikibalance walinzi wanakibali chakukutandika ngumi?
hawa wajuaji ndio hata huwa wanachapwa viboko na mdc.Wewe bwege!
Maana ya balanced story ni kuujua ukweli toka upande wa pili huenda huyo anaedaiwa kupigwa ndie alianza kupiga au kuna lingine zaidi ya kuchelewa kutoka wodini.
Pia malipo kwa gharama za mgonjwa hayafanyiki wodini bali kwenye dirisha la malipo.
Henda hilo jamaa ni wale wezi wanawaibia wagonjwa waliolazwa wodini vitu kama simu,pesa na kadhalika.
Halafu akakimbilia humu JF kuleta thread yeye mwenyewe halafu majuha tunadandia na kuanza bofya bofya bila kuujua ukweli.
Story balancing ndio msingi wa ETHICS za utoaji na uandishi habari.
Acha UFALA!
Narudia kusema tena kwamba Nyani haoni kundule.
Kama kucharazwa viboko ni kukosa uhuru na aibu mbona nyie mnaye "Uhuru" na bado hampo huru?!!
Angalia jinsi mnavyodai uhuru wenu kutoka kwa Uhuru. Mnatia aibu🤣
View attachment 1684047
Jeshin ufundishwa kutumia nguvu kutatua tatizo vijana wa suma hao,Dawa inanunuliwa kwa control number?
Kifupi tu wabongo sio watu wa kujali, hapo unaweza kuta jamaa alikuwa anaforce kuingia hata Kama hakuruhusiwa
Watoto Mwalimu wao ni babaTangu Itawala wa Polepole usimikwe nchini, Tangu Palamagamba Kabudi awe Waziri asiye na Wizara maalum.
Ubabe umekuwa Sera rasmi ya serikali.
Ndo madhara ya kulelewa na mzazi diktetaWalinzi acha wapige wazembe maana na wenyewe wanahitaji mapumziko.
Haipaswi ucharazwe viboko na kiongozi mwanamke, jibaba lenye miraba miine unalazwa sakafuni na kupigwa viboko, ila mbona mko legelege hivyo, yaani bure kabisa....hehehe hadi raha tena mcharazwe sana maana mumeitia Afrika aibu.