MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,746
- 48,385
Weka na ile ya Wachina wakiwashikisha adabu ndugu zako huko Kunya.
Hii hapa
Watanzania wacharangwa mapanga ndani ya Tanzania na Wachina
Wachina watano mbaroni kwa kujeruhi Watanzania kwa sime
Wachina watosa watanzania baharini
Wachina wakutwa na hatia ya kuwatupa wazamiaji wawili wa Tanzania baharini
Wachina saba wamekutwa na hatia ya kujaribu kuwaua watanzania wawili kwa kuwatupa baharini karibu na mwambao wa KwaZulu Natal, mwezi uliopita Amiri Salamu(20) na Hassani Rajabu(30) walitoswa baharini wakiwa wamepewa ‘life jackets’ na chupa za maji wakaamriwa kuogelea. Siku tatu baadae...
www.jamiiforums.com
Hii nyingine
Wafanyakazi maskini Watanzania hupigwa kichapo cha aina ya kung-fu na Wachina
Mchina juzi alifukuzwa Kenya kwa kosa la kuwatukana Wakenya, huku JF hakukukalika kwa jinsi Watanzania walichekea tukio hilo. Lakini cha kushangaza wao kama ilivyo kawaida huwa hawajiangalii, tusi la kibaguzi dhidi ya Mkenya mweusi linawahusu pia, yaani kuwa na akili ndogo ni laana. Sasa...
www.jamiiforums.com