figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
zainabu bakari mkazi wa mtwara amepigwa talaka a.k.a (ban) na mmewe baada ya kugundulika alihudhuria kiliniki ya macho na kupewa miwani. Mmewe kadai kitendo cha kupewa miwani ni mbinu chafu za ccm kuidhofisha cuf kisiasa.mia