Apartments zinapangishwa kigamboni

mrangi

JF-Expert Member
Feb 19, 2014
80,099
104,527
inavyumba viwili kimoja master,kuna jiko,choo na bafu public...sitting room,madirisha ya aluminium,nyumba ina tiles,juu gypsum,kuna fence na geti,parking ya magari ni kubwa tu..ziko apartment 3,kila moja inahitegemea luku yake....nyumba ziko kwenye finishing ya mwisho baada ya wiki mbili zitakuwa zinekamikika,apartment hzo zipokigamboni vijibweni,soweto
Kodi ya mwezi ni 300,000/ tunapokea kodi ya miezi sita sita.....
 

Attachments

  • IMG-20170610-WA0043.jpg
    IMG-20170610-WA0043.jpg
    110.1 KB · Views: 68
  • IMG-20170610-WA0044.jpg
    IMG-20170610-WA0044.jpg
    113.3 KB · Views: 61
  • IMG-20170610-WA0038.jpg
    IMG-20170610-WA0038.jpg
    20.1 KB · Views: 57
  • IMG-20170610-WA0045.jpg
    IMG-20170610-WA0045.jpg
    25.1 KB · Views: 56
  • IMG-20170610-WA0046.jpg
    IMG-20170610-WA0046.jpg
    58 KB · Views: 58
  • IMG-20170610-WA0047.jpg
    IMG-20170610-WA0047.jpg
    59.6 KB · Views: 56
  • IMG-20170610-WA0048.jpg
    IMG-20170610-WA0048.jpg
    34 KB · Views: 58
  • IMG-20170610-WA0049.jpg
    IMG-20170610-WA0049.jpg
    12.1 KB · Views: 58
  • IMG-20170610-WA0050.jpg
    IMG-20170610-WA0050.jpg
    31.9 KB · Views: 63
Kwa mawasiliano piga sim 0715591141,wapangaji mna karibishwa

OvA
 
Mimi kodi ya laki tatu nalipa kwa miezi sita na hadi leo narudi nyumbani usiku natoka alfajiri tusionane na Mzee Mbonde mana nadaiwa huu mwezi wa pili sasa.
 
Mimi kodi ya laki tatu nalipa kwa miezi sita na hadi leo narudi nyumbani usiku natoka alfajiri tusionane na Mzee Mbonde mana nadaiwa huu mwezi wa pili sasa.
Sijaelewa ujunbe wako chief

Ova
 
Watanzania masikini wanaishi nyumba za gharama kubwa(pango).. Matajiri nyumba za nafuu
 
Nyumba hata iwe nzuri kiasi gani kama ni ya kupangaisha ni ya kupangisha ty
 
Wale mnaotaka apartment zimebaki mbili.....
Karibuni

Ova
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom