Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anafanya kazi gani???maana kuna kzi nyingine sio mchezo,,,
we olewa na jasusi uone,,,,usiku uko nae kitandani asubuhi ukiamka mwenzako yuko afghanistani kwa ajili ya ''mission impossible''............kupata salam zake tena mpaka mission ikamilike........Kwa hiyo kuna kazi nyingine sio mchezo na nyingine mchezo?
anafundisha A-level
Kwa hiyo kuna kazi nyingine sio mchezo na nyingine mchezo?
anafanya kazi gani???maana kuna kzi nyingine sio mchezo,,,
jaman wanajanvi naomba kujuzwa hapa kidogo.ninampenz wang nampend cn lakn cha kushangaza ananipigiaga cm mara moja kwa wiki nkimuulza mbona unansahau kias hicho anadai kua anakua bize cn, kiac kwamb nmeanza kumzoea na 2naelekea kumalza mwaka sasa,
Afuate huu ushauri,inawezekana na yeye anasubiri kupigiwa tu!!Abiria chunga mzigo wako.okey sasa huyo kama ni mtu wa mishe ni kawaida.... na wewe unampigia mara ngapi kwa wiki? kama yupo bussy inabidi wewe ndo uwe unapiga simu..... kama ungesema huwa apokei simu au anakukataza kupiga hapo kweli ningeona amna mapenzi...
ndio maana nikauliza kwanza,na afterall anampigigia mara moja kwa wiki,,,Shuguli huwa haziishi hata siku moja kama anaampenda lazima atakua na muda naye otherwise hakuna kitu hapo
anafundisha A-level
Hapo sasa....
Habari za siku
Afuate huu ushauri,inawezekana na yeye anasubiri kupigiwa tu!!Abiria chunga mzigo wako.