Anzisha Radio kwa Tshs 10,000,000/= usikivu ni KM 45.

katika thread hii kila mtu ana negative review na nyinyi na ukiona kila mtu ana mashaka na wewe jua kabisa there is something kwako it is not right .....
na ukishaanza kupata negative reviews katika stage ya kwanza ya biashara kama hii biashara ambayo mtu anatumia pesa nyingi kuwekeza jua kabisa kuna tatizo

Mkuu hakuna negative review nyuma ya keyboard. Unapokuja na msimamo wa kwamba kuna tatizo naweza kusema labda una ajenda yako mwenyewe kichwani. Kama nawewe unakampuni au biashara inashabihiana na hii basi usitumie nguvu kucrash biashara ya mtu mwingine eti kuna tatizo, ina maana wewe hapo ulipo umefanya kazi namimi na kuona kuna tatizo?

Au kutokuweka fegure kamili kwenye title ndo sababu? Siwezi kukubaliana nawewe kusema tatizo, shida watu wengi wanapenda kuangalia matatizo ya biashara za wenzao huku ya kwake hana hata maboresho. Ningekuwa nimekufanyia kazi na kukawa na tatizo ilikuwa rahisi sana kusema hivyo na pia kutoa maoni kuwa sehemu fulani kuna tatizo na sehemu fulani kuna tatizo boresheni hivi. Wewe sijakufanyia kazi, hujafika hata ofisini, hujafanya chochote eti unaanza kusema kuna tatizo bainisha sasa ni tatizo gani, wivu utaua watu na kukaa kuangalia matatizo ya watu.

Umenikumbusha aina ya watu ambayo ilitolewa mfano huu "Kulikuwa na kijana alipata mbwa anayeweza kukimbia juu ya bahari au ziwa na kukamata bata mizinga, siku moja akamchukua rafiki yake kwenda kumuonyesha maajabu ya mbwa wake, walipofika kijana akamruhusu mbwa mbwa akakimbia juu ya maji na kukamata bata mmoja, wakaondoka kurudi nyumbani na yule rafiki yake na kijana alikuwa kimya na hakusema chochote, ikabidi kijana aondoe ukimya na kumuuliza rafiki yake Umeona kipi cha ajabu/tofauti juu ya mbwa wangu? Rafiki yake akamjibu nimegundua HAWEZI KUOGELEA"

Kuna watu ambao kazi yao ni kuangalia negatives tu na inawezekana huwa wanaumia sana wanapoona postives. Ningefurahi ungenipa maoni ya kuboresha na si kudai eti kuna tatizo bila kubainisha. Tunamshukuru Mungu mpaka sasa tuna tender 4.
 
Radio producer@heshima kwako...mi nipo UK na nafikiria sana kuanzisha radio bongo...je,TCRA bado wanatoa masafa kwa mikoa ya dar es salaam na Arusha?...ukiacha mikoa hiyo miwili,ni mikoa gani mingine ambayo inaonesha kuwa ina soko zuri na makampuni yanayotangaza bidhaa zao?......aksante
 
Radio producer@heshima kwako...mi nipo UK na nafikiria sana kuanzisha radio bongo...je,TCRA bado wanatoa masafa kwa mikoa ya dar es salaam na Arusha?...ukiacha mikoa hiyo miwili,ni mikoa gani mingine ambayo inaonesha kuwa ina soko zuri na makampuni yanayotangaza bidhaa zao?......aksante

Mkuu, karibu! Kwa Dar masafa yamejaa kwa mujibu wa TCRA, kwa Arusha unaweza kupata masafa japo nakwenyewe ni kwa taabu maana watu wengi siku hizi wanachukua masafa na kuyatunza hata kabla ya kuanzisha radio.

Mikoa mingine inayoweza kulipa, itakuwemo hii mikoa Mipya Geita, Katavi (njombe kwenyewe najua tayari watu walishaanza kazi) Mikoa mingine ni pamoja na Shinyanga, Lindi. soko la radio zuri ni kuwahi sehemu ambapo radio bado ni chache na kwamba hata masafa yataenda mbali zaidi sababu mgongano utakuwa mdogo hewani.

Makampuni ya matangazo ni pamoja na Makampuni ya mitandao ya simu, na mashirika binafsi hata na serikali n.k

Asante na karibu.
 
Mkuu, karibu! Kwa Dar masafa yamejaa kwa mujibu wa TCRA, kwa Arusha unaweza kupata masafa japo nakwenyewe ni kwa taabu maana watu wengi siku hizi wanachukua masafa na kuyatunza hata kabla ya kuanzisha radio.

Mikoa mingine inayoweza kulipa, itakuwemo hii mikoa Mipya Geita, Katavi (njombe kwenyewe najua tayari watu walishaanza kazi) Mikoa mingine ni pamoja na Shinyanga, Lindi. soko la radio zuri ni kuwahi sehemu ambapo radio bado ni chache na kwamba hata masafa yataenda mbali zaidi sababu mgongano utakuwa mdogo hewani.

Makampuni ya matangazo ni pamoja na Makampuni ya mitandao ya simu, na mashirika binafsi hata na serikali n.k

Asante na karibu.

Asante sana mkubwa,nategemea kuwepo bongo mwanzoni mwa november,ntakutafuta ili nione jinsi tunavyoweza kufanya kazi pamoja
 
samahani mkuu, mimi huwa najiuliza sana, hivi inakuwaje mtu ambaye hajakufanyia kazi na humfahamu, na ametangaza yeye mwenyewe kwa ajili ya kazi zake unapata ujasiri wa kuanza kumwita tapeli? Hivi huwa mtu anapata ujasiri wapi wa kumwita mtu tapeli? Tumekutapeli nini mkuu? Tumefanyia kazi watu wangapi? Unamfahamu hata mteja wetu mmoja ambaye alikupa evidence kuwa tumemtapeli?

Wakati mwingine wabongo tujifunzeni adabu kwa watu. Si wote wako kama wewe na si wote wanafikira kama za kwako, na si wote waliojf wamo kwa lengo kama lako na nia kama yako na maneno kama yako. Kwa hali hii maendeleo ni magumu sana kwa hapa tz sababu kila kitu kwetu sisi ni utapeli utadhani anayeuzungumza ana evidence nao, kwa mtindo huu tutabaki kuwaona wakenya wanapeta tu na sisi wabongo tumekalia kuponda biashara za watu tukiwa nyuma ya keyboard bila kufikiria vizuri. Samahani mkuu, ila wewe ni mtu wa ajabu sana.


unajitetea sana, lakini majibu yako hayaridhishi. Binafsi ningependa kujua kwa nini nje utangaze million 10 halafu ndani useme milion 16? Usipojibu hili swali wadau wengi wataendelea kukosa imani na wewe. Ni ushauri tu
 
Heading yako umesema 10 mill humu kwa thread unasema 16 mill

Daily management tunawaachia nyie?? Haujaweka gharama..

Minara hujaweka gharama ila unasema utajua jinsi ya kutusaidia
Sijui kwanini ila kila nikiona post yetu NAHISI HARUFU YA UTAPELI...

Samahani lakini... Anyway ngoja tuendelee kuwasikilizia

huu si utapeli kaka amini bila kuona ukitaka uone ndo uamini hyo inakuwa si imani tena. Huyu ndugu r.p namkubali na nimekutana naye dar jumamosi ya tar 29 sept, ila pia ni mteja wangu ninayeclear mizigo hvyo anachokisema si utapeli.
 
Samahani mkuu, mimi huwa najiuliza sana, hivi inakuwaje mtu ambaye hajakufanyia kazi na humfahamu, na ametangaza yeye mwenyewe kwa ajili ya kazi zake unapata ujasiri wa kuanza kumwita tapeli? Hivi huwa mtu anapata ujasiri wapi wa kumwita mtu tapeli? Tumekutapeli nini mkuu? Tumefanyia kazi watu wangapi? Unamfahamu hata mteja wetu mmoja ambaye alikupa evidence kuwa tumemtapeli?

Wakati mwingine wabongo tujifunzeni adabu kwa watu. Si wote wako kama wewe na si wote wanafikira kama za kwako, na si wote walioJF wamo kwa lengo kama lako na nia kama yako na maneno kama yako. Kwa hali hii maendeleo ni magumu sana kwa hapa TZ sababu kila kitu kwetu sisi ni utapeli utadhani anayeuzungumza ana evidence nao, kwa mtindo huu tutabaki kuwaona Wakenya wanapeta tu na sisi wabongo tumekalia kuponda biashara za watu tukiwa nyuma ya keyboard bila kufikiria vizuri. Samahani mkuu, ila wewe ni mtu wa ajabu sana.

kaka wasamehe bure, wamezoea labda kutapeliwa, na hili ndio tatizo la watanzania na tanzania, tumetapeliwa kiasi cha kuona kila mtu ni tapeli. Cha msingi mtu kama ana mashaka asikuruke na kujudge ni utapeli
 
matapeli hawa

mkuu una elimu yeyote iliyokujulisha hawa jamaa ni matapeli ?
Wewe tuambie tuu hata kama ni kiungo cha albino ndiocho kilicho kuwezesha kujua nia yao kwani humjui hakujui na hanjafanya biashara yeyote
 
mkuu una elimu yeyote iliyokujulisha hawa jamaa ni matapeli ?
Wewe tuambie tuu hata kama ni kiungo cha albino ndiocho kilicho kuwezesha kujua nia yao kwani humjui hakujui na hanjafanya biashara yeyote

Nawafahamu hawa matapeli wakubwa!
 
Wakuu, hii ni biashara nzuri ila yeyote atakaekuwa interested kuinvest kwenye hii biashara, ni vizuri akafanya utafiti kujua listership loyalty ya radio nyingine kubwa, maana hizo ndio zimekuwa hasa zinaua biashara ya radio ndogo kwani advertisers wanaangalia % na profile ya listeners ndio wanakuwa tayari kutoa pesa kutangaza, pia hata gharama zako za matangazo zinakuwa za chini sana na bado upatikanaji wa advertisers unakuwa shida kidogo. Ni biashara nzuri endapo utalenga area zenye 1. Population kubwa 2. High profile (social class) 3. life style (wawe consumers wa products ambazo zinaadvertise sana e.g Telecom, Breweries, carbonated drinks etc). Utafiti mkubwa unatakiwa ufanywe kabla ya kuinvest kwenye hii business.
 
katika thread hii kila mtu ana negative review na nyinyi na ukiona kila mtu ana mashaka na wewe jua kabisa there is something kwako it is not right .....
na ukishaanza kupata negative reviews katika stage ya kwanza ya biashara kama hii biashara ambayo mtu anatumia pesa nyingi kuwekeza jua kabisa kuna tatizo

Tatizo asilimia kubwa ya WATZ ni NEGATIVE THINKERS, sasa kama kampuni hufahamu, hujapata ushahidi wa matukio ya utapeli; utawezaje kusema wewe ni tapeli. Tupendane wandugu na kuthaminiana.....!!!
 
Wakuu, hii ni biashara nzuri ila yeyote atakaekuwa interested kuinvest kwenye hii biashara, ni vizuri akafanya utafiti kujua listership loyalty ya radio nyingine kubwa, maana hizo ndio zimekuwa hasa zinaua biashara ya radio ndogo kwani advertisers wanaangalia % na profile ya listeners ndio wanakuwa tayari kutoa pesa kutangaza, pia hata gharama zako za matangazo zinakuwa za chini sana na bado upatikanaji wa advertisers unakuwa shida kidogo. Ni biashara nzuri endapo utalenga area zenye 1. Population kubwa 2. High profile (social class) 3. life style (wawe consumers wa products ambazo zinaadvertise sana e.g Telecom, Breweries, carbonated drinks etc). Utafiti mkubwa unatakiwa ufanywe kabla ya kuinvest kwenye hii business.

Mkuu umesema kweli kabisa, kuna kitu kinakuja kwasasa kitakachosaidia. Makampuni mengi, serikali na hata mashirika mbalimbali yameanza kuona impact kutumia Local radios kutangaza mambo yao. Unajua watu wengi wa local wanapenda kusikiliza radio zao may be kwa product ambazo zinahusu audience wa mijini lakini hata hawa makampuni ya simu nguvu kubwa wameanza kuirudisha huku local. Na kuna mapango wa serikali kutumia local radios kutangaza matangazo yao yote. Hope kwa huko mbele neema itakuwa kubwa sana.
 
Tatizo asilimia kubwa ya WATZ ni NEGATIVE THINKERS, sasa kama kampuni hufahamu, hujapata ushahidi wa matukio ya utapeli; utawezaje kusema wewe ni tapeli. Tupendane wandugu na kuthaminiana.....!!![/
mkuu sio kwamba ni negative thinker la hasha ila ni kuwa kuna matapeli wengi so lazima mtu uwe makini especially kama mtu hamjawahi fanya nae biashara kuanzia stage ya kwanza mtu ukiwa na mashaka nae tu lazima ujiweke katika safe position milioni kumi na sita kutoa hivi hivi kwa usawa huu sio mchezo
 
Tatizo asilimia kubwa ya WATZ ni NEGATIVE THINKERS, sasa kama kampuni hufahamu, hujapata ushahidi wa matukio ya utapeli; utawezaje kusema wewe ni tapeli. Tupendane wandugu na kuthaminiana.....!!![/
mkuu sio kwamba ni negative thinker la hasha ila ni kuwa kuna matapeli wengi so lazima mtu uwe makini especially kama mtu hamjawahi fanya nae biashara kuanzia stage ya kwanza mtu ukiwa na mashaka nae tu lazima ujiweke katika safe position milioni kumi na sita kutoa hivi hivi kwa usawa huu sio mchezo

Sasa kinachokufanya kusisitiza kuwa sisi ni matapeli, kwako wewe unaona milioni 16 ni nyiiingi sana, ni kweli ni nyingi. Nadhani ndiyo maana unaona utapeli nimegundua kitu kuwa wewe umezoea biashara za elfu hamsini hamsini, ukiambiwa biashara ya milioni 40 unaona ni utapeli. Pole sana sisi contract ya kwanza tu tulikabidhiwa milion 21 cash na kazi ilienda safi sana.
 
Mkuu mengine ni siri ya kampuni, unaona watu wanapelekana mahakamani kwasababu ya copy and paste? Siwezi mengine kukueleza hapa moja kwa moja inabidi twende kwa mazungumzo. Kama unahisi harufu ya utapeli hakuna anyekulazimisha kufanya nasi mkuu.

Samahani.

nhuu!!!!!!!!!!!!!
hasira za nini sasa? si watu wanajibu kulingana na ulivyosema? sasa badala ya kujibu hoja unaanza kutoka povu. Consultant unakosa hata lugha ya kibiashara? unajuaje unayemlopokea ndo mteja mwenyewe?
Nitafute mie consultant wa CUSTOMER CARE SERVICES, nikufundishe namna ya kuongea na wateja wako.
 
nhuu!!!!!!!!!!!!!
hasira za nini sasa? si watu wanajibu kulingana na ulivyosema? sasa badala ya kujibu hoja unaanza kutoka povu. Consultant unakosa hata lugha ya kibiashara? unajuaje unayemlopokea ndo mteja mwenyewe?
Nitafute mie consultant wa CUSTOMER CARE SERVICES, nikufundishe namna ya kuongea na wateja wako.

Asante Consultant wa customer care.
 
Sasa kinachokufanya kusisitiza kuwa sisi ni matapeli, kwako wewe unaona milioni 16 ni nyiiingi sana, ni kweli ni nyingi. Nadhani ndiyo maana unaona utapeli nimegundua kitu kuwa wewe umezoea biashara za elfu hamsini hamsini, ukiambiwa biashara ya milioni 40 unaona ni utapeli. Pole sana sisi contract ya kwanza tu tulikabidhiwa milion 21 cash na kazi ilienda safi sana.

Mkuu sasa naona umeanza kuni judge na hapa nimeongelea as majority ya watanzania kuwa mill 16 kuanza kwa biashara sio inshu ndogo ni na kama unasema biashara zangu ni za 50,000 you are damn wrong poor you you have no idea ...
Nimeshaona una tatizo pia kwenye biashara ndio maana unashindwa kushawishi watu hata kama biashara yako ni 100 mill bado mtu lazima usite kuwekeza 10 mill unampa mtu ambaye humjui eti radio consultant.. Mbaya zaidi anayeonekana mjanja mjanja na akiulizwa maswali ya mashaka ana panic umesema believe me hata ukienda kwa manji au bakhresa ni matajiri sawa ila sio kazi rahisi kutoa millioni kumi kiajabu jabu na sio yeye ni kwa mtu yeyote anayeijua SHILINGI umesema kuna tenda nne weka hapa contact na hizo redio ulizozi consult then tuwaulize... Weka hapa jina lako halisi na kampuni yako so long as uko hapa kibiashara hautaogopa kuweka details zako zote tuanze kuchambua pumba ni upi na mchele ni upi
 
Uzoefu wenu huko nyuma ukoje? Unaweza kutupatia japo mfano 1 wa mradi mliousimamia kwa mafanikio makubwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom