Anzisha kiwanda cha magodoro

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
Habari Tanzania !

Napenda kutoa wazo la uanzishwaji wa kiwanda kidogo cha utengenezaji magodoro rahisi na rafiki. Bidhaa ya godoro itakuwa ni nafuu kwa mteja au wateja utakao walenga.

Haya magoforo yanadumu muda mrefu sana, rafiki kwa mazingira na gharama za uzalishaji ni ndogo.

Mahitaji;

a) Makoa

b) Steel-wire

c) Kamba ya katani

d) Pamba isiyo na mbegu/ Iliyochambuliwa au Sufi

e) Kitambaa cha pamba rangi yoyote

f) Wire wa kopa

g) Uzi wa pamba/ Uzi

h) Sindano ya mkono

Karibu.

Haahaa acha kujitoa ufahamu.

1. Baada ya kuwa na hayo mahitaji, kinachofuata ni uunganishaji au uundaji wa godoro. Utaamua saizi ya godoro ulitakalo.

2. Baada ya hapo. Utashepu godoro lako kwa kutumia makoa kwa kuunda fremu ya mfanano mawili au matatu au manne itategemeana unataka inchi ngapi?.

3. Utachukua wire wa kopa utaukata na kuushepu mfano wa zigizaga kwa saizi moja kwendana na futi size ya godoro utakalo. Utakata vipande vidogo vidogo 24 (Urefu 6 * Upana 4).

4. Unaichuwa steel-wire unaikata kwa mfanano ule ule wa inchi ya godoro.

5. Unachukua pamba yako safi tayari sasa kwa kutengeneza godoro.

6. Hatua hii ndio uundaji sasa wa godoro unapoanzia baada ya kuandaa kila kitu.

a) Unachukua vipande vya wire ya kopa unaviunganisha kwa kamba ya katani kuelekea urefu na upana wa godoro lako mfano 5*6 au 6*6.

b) Baada ya hapo. Unatandaza makoa yako ambayo uliyoyatengeneza kwa shepu ya fremu za godoro kwa kuunganisha huku yakipandiana kwa wire ya kopa aidha fremu 2 au 3 au 4.

c) Unaunganisha sasa na zigizaga ya wire wa kopa ulizoziunganisha awali. Unaweka steel-wire kwenye nafasi pembezoni mwa kila shimo la zigzaga. Baada ya hapo unaanza kufix au kuchomeka pamba yako sasa kwa ustadi mkuu.

Nitamalizia.
 
Habari Tanzania !

Napenda kutoa wazo la uanzishwaji wa kiwanda kidogo cha utengenezaji magodoro rahisi na rafiki. Bidhaa ya godoro itakuwa ni nafuu kwa mteja au wateja utakao walenga.

Haya magoforo yanadumu muda mrefu sana, rafiki kwa mazingira na gharama za uzalishaji ni ndogo.

Mahitaji;

a) Makoa

b) Steel-wire

c) Kamba ya katani

d) Pamba isiyo na mbegu/ Iliyochambuliwa au Sufi

e) Kitambaa cha pamba rangi yoyote

f) Wire wa kopa

g) Uzi wa pamba/ Uzi

h) Sindano ya mkono

Karibu.


Hivi wewe una umri gni?
 
Habari Tanzania !

Napenda kutoa wazo la uanzishwaji wa kiwanda kidogo cha utengenezaji magodoro rahisi na rafiki. Bidhaa ya godoro itakuwa ni nafuu kwa mteja au wateja utakao walenga.

Haya magoforo yanadumu muda mrefu sana, rafiki kwa mazingira na gharama za uzalishaji ni ndogo.

Mahitaji;

a) Makoa

b) Steel-wire

c) Kamba ya katani

d) Pamba isiyo na mbegu/ Iliyochambuliwa au Sufi

e) Kitambaa cha pamba rangi yoyote

f) Wire wa kopa

g) Uzi wa pamba/ Uzi

h) Sindano ya mkono

Karibu.
Unaturudisha nyuma mkuu!, saiv 2020 kweli godoro la pamba!
May be kwa vyuma kukaza, ila juzi nilitembelea bariadi jamaa wanatengeza kwa kitumia maranda ya mbao, lakini bado niliwaonea huruma watumiaji najua ni vyuma kukaza tu
 
Habari Tanzania !

Napenda kutoa wazo la uanzishwaji wa kiwanda kidogo cha utengenezaji magodoro rahisi na rafiki. Bidhaa ya godoro itakuwa ni nafuu kwa mteja au wateja utakao walenga.

Haya magoforo yanadumu muda mrefu sana, rafiki kwa mazingira na gharama za uzalishaji ni ndogo.

Mahitaji;

a) Makoa

b) Steel-wire

c) Kamba ya katani

d) Pamba isiyo na mbegu/ Iliyochambuliwa au Sufi

e) Kitambaa cha pamba rangi yoyote

f) Wire wa kopa

g) Uzi wa pamba/ Uzi

h) Sindano ya mkono

Karibu.
Mkuu ungeweka na kavideo vifaa umetuelekeza jinsi ya kutumia atujaelewa
 
Back
Top Bottom