Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

VIPODOZI

Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.
Asante sana mkuu. Unaweza kutupa makadirio ya mtaji wa kuanzisha duka la kawaida la vipodozi na jinsi linavyozalisha? Natanguliza samahani kwa usumbufu lakini
 
VIPODOZI

Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.
Nilikua natafuta sana hilu chimbo!! Asante sana umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom