Anywa sumu kisa Demu

Faru dume

JF-Expert Member
Dec 7, 2012
471
116
Mshikaji wetu mtaani alimaliza mwaka kwa kunywa sumu eti kisha msichana wake kamlia pesa then akamtosa na kuamia kwa rafiki yake kwasababu mshikaji kachacha lakini mshikaji akizipata demu anarudi tena,basi mshikaji akaona sio kesi ni bora ajitoe duniani asishuhudie demu wake akimsaliti,akaamua kununua sumu na cha ajabu akanunua na lita ya maziwa,akanywa sumu alipoona hali si nzuri akapiga fasta maziwa hakuishia hapo akapga makelele ya kuomba msaada,wanaume tukasogea geto kwake tukamkuta jamaa yupo hoi pembeni nusu lita ya maziwa na sumu ya panya.
Dah!Kweli mapenzi yana rani dunia.
 
haha kwa hiyo akufa uwiii? jinga huyo sasa mademu wengi kunywa sumu kisa demu au mwanaume upuuzi mtupu ... umechunwa kwani alikuwa amgongi si ngoma drooo hapo
 
haha kwa hiyo akufa uwiii? jinga huyo sasa mademu wengi kunywa sumu kisa demu au mwanaume upuuzi mtupu ... umechunwa kwani alikuwa amgongi si ngoma drooo hapo

Hakufa bana!Tatizo mshkaj aliweka future kwake...So alighalamikia xana
 
Hakufa bana!Tatizo mshkaj aliweka future kwake...So alighalamikia xana

ila vijana wengi huwa tunajidanganya sana unawekaje 100% future kwa mtu uliyemtongoza tu tena kwa kukutana aisee me sijui naona kama jamaa alijiaminisha sana kwa huyo demu.... mwambie aache ujinga afanye maisha sasa ona anaonekan jinga hata jamiii haimdhamini tena kwa sababu kashindwa kujua thamani yake
 
ila vijana wengi huwa tunajidanganya sana unawekaje 100% future kwa mtu uliyemtongoza tu tena kwa kukutana aisee me sijui naona kama jamaa alijiaminisha sana kwa huyo demu.... mwambie aache ujinga afanye maisha sasa ona anaonekan jinga hata jamiii haimdhamini tena kwa sababu kashindwa kujua thamani yake
miss chaga ni kweli huyu mtu kachukua very unwise decision!!lakini bana hii mambo ya mapenzi hii haina mwenyewe aisee!
 
Nielekeze alipo nimcharaze bakora atakunweje sumu ilihali wanawake wengi kuliko wanaume? Ili kuhakikisha kila mwanamke aliyepo hapo duniani anapata huduma (kasoro masita ) lazima kila mwanaume agonge ndani na nje halalafu dume zima unywe sumu nyoooo!!!!!!!
 
miss chaga ni kweli huyu mtu kachukua very unwise decision!!lakini bana hii mambo ya mapenzi hii haina mwenyewe aisee!

yani aisee kuliko nijiue ni bora nimpe adhabu nyngine huyo aliyenitesa,........ just word ilove u inipe tabu maishani labda pesa aiseee
 
Nielekeze alipo nimcharaze bakora atakunweje sumu ilihali wanawake wengi kuliko wanaume? Ili kuhakikisha kila mwanamke aliyepo hapo duniani anapata huduma (kasoro masita ) lazima kila mwanaume agonge ndani na nje halalafu dume zima unywe sumu nyoooo!!!!!!!

huyu jamaa poyoyo kabisa...badala ashukuru kujua kademu chenyewe si cha kuishi nacha analazimisha matatizotena kwa kujaribu uhai wake nyambafu kabisa... jana nilisema wanaume aklia aziwatoshi kidogo nipigwe mawe kweli ameproove ile kauli yangu ya jana
 
Mshikaji wetu mtaani alimaliza mwaka kwa kunywa sumu eti kisha msichana wake kamlia pesa then akamtosa na kuamia kwa rafiki yake kwasababu mshikaji kachacha lakini mshikaji akizipata demu anarudi tena,basi mshikaji akaona sio kesi ni bora ajitoe duniani asishuhudie demu wake akimsaliti,akaamua kununua sumu na cha ajabu akanunua na lita ya maziwa,akanywa sumu alipoona hali si nzuri akapiga fasta maziwa hakuishia hapo akapga makelele ya kuomba msaada,wanaume tukasogea geto kwake tukamkuta jamaa yupo hoi pembeni nusu lita ya maziwa na sumu ya panya.
Dah!Kweli mapenzi yana rani dunia.

nasikitika sana kwanini jamaa hakufa.....2mbav kabisa
 
huyu jamaa poyoyo kabisa...badala ashukuru kujua kademu chenyewe si cha kuishi nacha analazimisha matatizotena kwa kujaribu uhai wake nyambafu kabisa... jana nilisema wanaume aklia aziwatoshi kidogo nipigwe mawe kweli ameproove ile kauli yangu ya jana

mwe!!!
 
yani aisee kuliko nijiue ni bora nimpe adhabu nyngine huyo aliyenitesa,........ just word ilove u inipe tabu maishani labda pesa aiseee

miss chaga uliwahai kupenda! acha hizi za kihuni ya true love yaani huoni wala husikii!
of course si-support kujidhuru lakini mtu yoyote kama hawi makini anaweza kufanya uamuzi wowote mbaya kwa muda wowote tu!
 
Ni kweli Blessed mapenzi hayana mwenyewe ila yanahitaji hekima peke yake kwn unaweza kufikia alipofikia jamaa, pengine wametoka mbali na ndicho kilichompelekea yeye kunywa sumu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom