Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Jamaa mmoja mkoani Tanga amewanyonga wanawe wawili kati ya watano baada ya kunyimwa mgao wa mirathi ya mkwe wake.
Jamaa alikuwa anaishi kwenye nyumba ya mama mkwe wake, na alipogundua hajapata mgao aliwachukua wanawe watano na kuwapeleka msituni saa saba usiku na kuanza kuwanyonga. Watoto wengine walikimbia baada ya kuona wenzao wakiuawa.
Source: Habari Radio One
Jamaa alikuwa anaishi kwenye nyumba ya mama mkwe wake, na alipogundua hajapata mgao aliwachukua wanawe watano na kuwapeleka msituni saa saba usiku na kuanza kuwanyonga. Watoto wengine walikimbia baada ya kuona wenzao wakiuawa.
Source: Habari Radio One