Any Kenyan who wants to get Vaccination get it in any of these stations

Huko kwenu mnachanja chanjo ipi? Mordena au Janssen?

Sijajua ipi nitachanjwa ila kuna rafiki wangu amechanjwa Astrazeneca.
Japo niliskia sehemu kwamba ile ya Johnson Johnson itatumika wiki ijayo tena kwa watu wote, maana imedhihirisha uwezo wake dhidi ya Delta na pia haihitaji kuchanjwa mara mbili.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom