silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,155
- 1,505
Boti hiyo ilikuwa ikitokea Zanzibar majira ya sita mchana.
May God have mercy on his soul.
Kutokana na maadili na miiko ya kiuandishi sitaweka video ya tukio hilo la kusikitisha.
=======
Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayosemwa ni ya Azam iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kwenda Unguja leo Februari 11, 2019 majira ya saa 6 mchana.
May God have mercy on his soul.
Kutokana na maadili na miiko ya kiuandishi sitaweka video ya tukio hilo la kusikitisha.
=======
Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayosemwa ni ya Azam iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kwenda Unguja leo Februari 11, 2019 majira ya saa 6 mchana.