Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 1,425
- 4,321
Moja kati ya maamuzi ya kipuuzi zaidi duniani ni kujitoa uhai. Haijalishi umekumbwa(kasoro kurukwa na akili tu) na yapi lakin kujitoa uhai ni upuuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kumbuka wote wanaofikia uamuzi wa kujitoa uhai huwa hawapo kwenye akili ya kawaida(kurukwa akili) hivyo comment yako ni meaningless dogo.
Sent from my iPhone using JamiiForums