ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,562
- 2,170
Mkuu ufafanuzi kidogo hapa, baada ya kuipeleka kwenye pdf ni application gani unatumia ili uweze ku sign bila printing. Nisaidie kama hutajali tafadhali.Application ya Office inapiga hizo kazi zote, huitaji hata ku-print. Ukiandika barua yako unaigeuza kwenda pdf then kuna-option ya kuisaini.