Fungua hii.
Unaweza kushangaa tar 19 Simba day ukasikia "Wape salaaam"
Itashangaza sana,mi nataka Ezekiel aendelee sitaki wahamasishaji wa michamboUtakua ni ujinga grade 1 mzee.
Itashangaza sana,mi nataka Ezekiel aendelee sitaki wahamasishaji wa michambo
Hawana ,mi nataka wao waendelee na taarabu yao Simba itulie ilige mpira wao waendelee na propaganda zaoHivi timu kama zamalek nazo hua zina watu kama manara?
Nakuunga mkono mkuu.Hawana ,mi nataka wao waendelee na taarabu yao Simba itulie ilige mpira wao waendelee na propaganda zao
Hivi Tanzania nzima anakosekana mtu wa kuwa msemaji wa timu kubwa Kama Simba Hadi Huyo Nugaz aje simbaItashangaza sana,mi nataka Ezekiel aendelee sitaki wahamasishaji wa michambo