Anthony Lusekelo: Haijawahi kutokea dunia kwa nchi kununua ndege nane kwa mpigo

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,392
21,889
Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!

Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.

Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
 
Wee umekariri vibaya ni kuwa alikuwa anamfagilia magufuli na kusema kuwa haijawahi tokea nchi yoyote dunia kwa kununua ndege hizo 8 kwa pamoja akasema ni tanzania pekee imeweza hivyo mh rais anatakiwa kupongezwa kwa hilo.na unavyosema hayupo sawa sio kweli maana hakuna swali hata moja aliulizwa na akashindwa kujibu.
 
Na wewe una kubaliana na lusekelo kuwa hakuna nchi yoyote duniani iliyonunua ndege nane kwa pamoja?
Wee umekariri vibaya ni kuwa alikuwa anamfagilia magufuli na kusema kuwa haijawahi tokea nchi yoyote dunia kwa kununua ndege hizo 8 kwa pamoja akasema ni tanzania pekee imeweza hivyo mh rais anatakiwa kupongezwa kwa hilo.na unavyosema hayupo sawa sio kweli maana hakuna swali hata moja aliulizwa na akashindwa kujibu.
 
Wee umekariri vibaya ni kuwa alikuwa anamfagilia magufuli na kusema kuwa haijawahi tokea nchi yoyote dunia kwa kununua ndege hizo 8 kwa pamoja akasema ni tanzania pekee imeweza hivyo mh rais anatakiwa kupongezwa kwa hilo.na unavyosema hayupo sawa sio kweli maana hakuna swali hata moja aliulizwa na akashindwa kujibu.
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
 
Kuhusu kukubaliana nae au kutokubaliana nae hilo ni suala la mtu binafsi maana yeye alikitoa kama mshangao wake kwa nchi kama tanzania kufanya hivyo,na kwa hapa tz tukilizunvumzia hili tangu huko tuliko toka hata mimi lazma niungane nae.
Na wewe una kubaliana na lusekelo kuwa hakuna nchi yoyote duniani iliyonunua ndege nane kwa pamoja?
 
Kuhusu kukubaliana nae au kutokubaliana nae hilo ni suala la mtu binafsi maana yeye alikitoa kama mshangao wake kwa nchi kama tanzania kufanya hivyo,na kwa hapa tz tukilizunvumzia hili tangu huko tuliko toka hata mimi lazma niungane nae.
Hivi wewe unavyomuona Lusekelo kuna usawa wowote wa kiakili tena pale?. Angalia afya yake halafu toa tathmini.
 
Kuhusu kukubaliana nae au kutokubaliana nae hilo ni suala la mtu binafsi maana yeye alikitoa kama mshangao wake kwa nchi kama tanzania kufanya hivyo,na kwa hapa tz tukilizunvumzia hili tangu huko tuliko toka hata mimi lazma niungane nae.
Kama unaungana naye basi unaungana naye kwenye ujinga na automatic nawe unakuwa mjinga kama yeye
 
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo


Watu wengine bhana kama ana stress zake ndo aje atoe uharo kwenye TV kwamba hakuna Nchi yoyote duniani iliyoagiza ndege nane kwa mpigo?

Huyu atakuwa na matatizo siyo

Kwanza sisi hizo nane tunalipa kidogo kidogo wenzetu full cash mijitu mingine bhana
 
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
je walilipa kama wananua mkate au
 
Kuhusu kukubaliana nae au kutokubaliana nae hilo ni suala la mtu binafsi maana yeye alikitoa kama mshangao wake kwa nchi kama tanzania kufanya hivyo,na kwa hapa tz tukilizunvumzia hili tangu huko tuliko toka hata mimi lazma niungane nae.
Sasa ndo umeandika nini!!
Umeulizwa duniani hakuna nchi imewahi kununua ndege nane kwa mpigo?acha kukimbia swali
 
Watu wengine bhana kama ana stress zake ndo aje atoe uharo kwenye TV kwamba hakuna Nchi yoyote duniani iliyoagiza ndege nane kwa mpigo?

Huyu atakuwa na matatizo siyo

Kwanza sisi hizo nane tunalipa kidogo kidogo wenzetu full cash mijitu mingine bhana
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Nafikiri lengo kubwa la press conference lilikuwa kuwaonyesha kuwa yeye yupo na ni mzima wa afya sababu kuna wazushi walizusha kafa wengine wakasema hatavuka mwezi wa tano.Hayo mengine aliyoongea ni mazungumzo baada ya habari
 
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
Tatizo la huyu Mzee, ni hajawahi kutembea, na Elimu yake ni ya Darasa la Saba. Kuna mambo mengi sana ya duniani hayajui
 
Nafikiri lengo kubwa la press conference lilikuwa kuwaonyesha kuwa yeye yupo na ni mzima wa afya sababu kuna wazushi walizusha kafa wengine wakasema hatavuka mwezi wa tano.Hayo mengine aliyoongea ni mazungumzo baada ya habari


Vitu vya kuzungumza ni vingi na ni vizuri Siku zote ukazungumza zenye uhakika na ukweli mfano unaweza kuzungumza Nchi yetu ilipata Uhuru 1961,Muuungano wetu na Zanzibar ulikuwa 1964,unaweza kuzungumza pia Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa Nyerere waandishi wa habari nao pia watukutu wangeuliza maswali kama haya kujua akili yake kama iko sawa wala asingetokea mtu yeyote wa kumpinga lusekelo lakin kwa haya aliyozungumza lazima tumpinge
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom