Acha kumtisha ulitakaa asifie ata kama apahitaji kusifiwa?Huyu mzee hatujui vizuri...Moshi V 2020 ataisikia redioni.....
Baada ya kuongea ukweli ndio unataka kumchafua? Kubalini kuambiwa ukweli ili chama kisonge mbeleKomu anataka kurudi ccm na taarifa hizi zipo siku nyingi, kwanza tangu amekuwa mbunge wa Moshi vijijini hajawahi kuonekana jimboni kwake kabisa! hata kushukuru hajawahi na anajua hatakiwi kabisa hata kwa dawa! pambaf zake aende tu hatutaki mizigo.
Kauli yako inaashiria ukimpinga mwenyekiti lazima ukumbane na janga baya!Sipingi mtazamo wa Komu ni haki yake kikatiba kutoa maoni yake. Ila akatafute wapiga kura wake walioko tayari kugeuzwa vilema ili yeye apate cheo. Kwa kuanzia atoe pesa za kutibiwa hao wote waliopata majeraha kwenye unyama wa uchaguzi.
Kwa hiyo Komu ni Uvccm?UVCCM mmepanic sana baada ya ukawa kugomea uchaguzi mnasema ukawa waingie kwenye uchaguzi wapambane ? Hivi una akili wewe wapambane na Police na NEC na CCM ,bora hata basi wangekua wanapambana afu mnaheshimu kura za wananchi, tatzo CCM mpaka mmeagiza wakurugenzi wasitangaze wapinzani wakishinda, so usifananishe mfalme daudi na upuuzi wa CCM
Kauli yako inaashiria ukimpinga mwenyekiti lazima ukumbane na janga baya!
Ameongea jambo sahihi sana. Hiyo susasusa yao haitawaongezea chochote kile na watanzania ndiyo hawa kama wanavyojulikana, ni watu wa kupelekwa na upepo na matukio siyo watu wa misimamo.
Halafu wanaposusa next plan yao ni ipi? CHADEMA na UKAWA wamebugi vibaya sana. Sijui walijufungia kufanya nini kwenye hiyo kamati kuu.
Wenye influence na effects ndiyo huwa wanasusa tena dhidi ya upande unaojali, lakini si katika mazingira haya. Hii ni vita.
Kingine siioni siku hizi ile CHADEMA iliyokua ikitoa shutuma au malalamiko huku ikinukuu na kufanya marejeo kwenye vifungu vya Katiba. CHADEMA ya sasa si ya watu wa kusoma maandishi, CHADEMA ya sasa inakaa vikao ikilipana posho halafu inakuja na matamko ya hovyo yanayowapa mzigo walaji wa taarifa ili kuzitafutia maumbo mazuri ili yalete maana.
Umeongea point sana,hasa aya ya mwisho.Ameongea jambo sahihi sana. Hiyo susasusa yao haitawaongezea chochote kile na watanzania ndiyo hawa kama wanavyojulikana, ni watu wa kupelekwa na upepo na matukio siyo watu wa misimamo.
Halafu wanaposusa next plan yao ni ipi? CHADEMA na UKAWA wamebugi vibaya sana. Sijui walijufungia kufanya nini kwenye hiyo kamati kuu.
Wenye influence na effects ndiyo huwa wanasusa tena dhidi ya upande unaojali, lakini si katika mazingira haya. Hii ni vita.
Kingine siioni siku hizi ile CHADEMA iliyokua ikitoa shutuma au malalamiko huku ikinukuu na kufanya marejeo kwenye vifungu vya Katiba. CHADEMA ya sasa si ya watu wa kusoma maandishi, CHADEMA ya sasa inakaa vikao ikilipana posho halafu inakuja na matamko ya hovyo yanayowapa mzigo walaji wa taarifa ili kuzitafutia maumbo mazuri ili yalete maana.
Hujui kitu. Unaongozwa na hisia tuKwanza naomba ieleweke kwa wana ccm kwamba yale sio maamizi ya Mbowe , inawezekana kabisa hata mbowe alitaka kushiriki lakini kamati kuu ilimpinga na kuja na common solution ya kutoshiriki uchaguzi huu mdogo. Sasa nyie wanaccm mnaosema komu kapingana na Mbowe mna ajenda zenu za siri. Komu anapingana na mawazo ya kamati kuu.
Kupingana kupo kwenye taasisi ila lazima mwisho wa siku kukubaliana mawazo ya wengi , inawezekana kabisa ndani ya kamati kuu wapo waliotaka kushiriki ila wapo pia waliokataa, sasa kama waliokataa walishinda huna budi kuwaunga mkono. Sasa unatoka nje na kuanza kuropoka oooh sijui nini, huo sio uongozi.
Katika maisha yako mambo mangapi wenzako walikupinga na ukakubali mawazo yao na mambo yakaenda. Je ulilazimisha wazo lako tu ndo litimizwe? Tuheshimu mawazo ya wengine , tuheshimu mawazo ya kamati kuu, tuheshimu watu waliojela, walioteseka , walioumizwa , waliopoteza Mali zao na waliopoteza maisha kwa sababu ya kupigania haki kipindi cha uchaguzi wa madiwani.
Yeye komu yangemkuta yaliowakuta wabunge wa kilombero na wanachama wao au meya wa Iringa asinge ropoka ujinga nje ya vikao vya ndani