Joshua yupo kimstali zaidi. Ukipanga matokeo yeye anayabadirisha.. Ngumi jiwe..Wana MMU mwenye uelewa wa boxing naomba anifafanulie kwa nini Anthony Joshua na Mayweather haitotokea wakapigana
Kwani haiwezekani mmoja kuongeza ama kupunguza kilo ili wapigane?Wanaweza wakapigana.
Joshua ni heavyweight contender kwamba ana uzito wa kuanzia kilo 90 na kuendelea. Floyd ni middleweight ana kilo zisizozidi 80.
Kwa sheria na taratibu za taasisi ya ngumi duniani hawa hawawezi kupigana kwakua kila mmoja ana mkanda wa levo yake na hawalingani.
Ila kupigana kwao kunaweza kutokea endapo itakua ni mechi ya charity. Yaani kiingilio chote kitapelekwa kuwasaidia watu wenye uhitaji.
Na mara nyingi mechi za hivi hua na raundi chache.
Ila miaka ya zamani hata mechi za hivi zilikua na raundi nyingi, mfano Jack Johnson na Stanley Ketchel.
Johnson alikua heavyweight na Ketchel alikua middleweight. Ketchel alitaka pambano liwe na raundi 45 ila Johnson akasema liwe na raundi 20.
Ukiachilia exhibition match wanaweza kupigana mfano mmoja akamchukulia mwenzie demu au wakakutana bar wakagombana. Hapo itabidi wapigane.
Inawezekana.Kwani haiwezekani mmoja kuongeza ama kupunguza kilo ili wapigane?
Ngumi jiwe?Joshua yupo kimstali zaidi. Ukipanga matokeo yeye anayabadirisha.. Ngumi jiwe..
Myweather yupo kibiashara zaidi.