Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,414
- 92,763
wacha wafu wazikane.
Kwa taarifa ni kwamba Diallo kampiga Mabina kwa zaidi ya kura 600. Wanasubiri kumtangaza rasmi. Source ni mtu aliepo kwenye kuhesabu kura.alikua anajenga mazingira iwapo angeshindwa aweka hali ya kuweza kwenda chadema.si unajua tena watu madaraka wanayatafuta kwa kila njia.
ITV ni Television ya Taifa.Unalalamika nini sasa nyie si mnayo ITV.
ITV ni Television ya Taifa.
Muda huu ccm ni zamu ya wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi, nao watapata nafasi wakati huo, kama ccm itakuwepo - isipokuwepo bahati mbaya.
Mkuu acha hizo ! uchaguzi wao ni kesho. Leo coaster moja iliyokuwa ikileta wajumbe toka wilayani kwa ajili ya kikao cha kesho imepata ajali nje kidogo ya Mwanza na kuna habari za kifo/vifo.
Muda huu ccm ni zamu ya wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi, nao watapata nafasi wakati huo, kama ccm itakuwepo - isipokuwepo bahati mbaya.
Muda huu ccm ni zamu ya wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi, nao watapata nafasi wakati huo, kama ccm itakuwepo - isipokuwepo bahati mbaya.
Ndio CDM waone umuhimu wa kuwa na TV yao.Tena sahau kurusha tena mikutano ya M4C
mbona hawakufanya live coverage ya huu uchaguzi?
wadau,
* kuna kituko kimetokea hapa, mbunge wa zamani wa kwimba - bujiku sakila ameibiwa simu yake na wana ccm katika uchaguzi ndani ya ukumbi; anahaha kuitafuta. William ngeleja ametangaza kuwa aliyeichukua airudishe!