Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,267
- 31,386
Source of info can either be formal OR informal....Sio sitaki, bali lazima nishangae, vipi wewe hushangai?,
Watu tumeonyeshwa video Musiba amefanya Press Conference Dodoma jana mchana, mara jana hiyo hiyo anakuja kuhudhuria kikao cha kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wakati yeye sio mjumbe!, halafu miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho, kuna mjumbe mmoja anaripoti kwa Ngurumo!,haya hayakushangazi?!.
P.