KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Watu hawawezi kumpuuza wakati akiwa ni Rais.Ni kweli!
Kwenye PR ya hili janga, jamaa anachemka sana.
Nakubaliana na observation yako.
Ndo maana nimependekeza watu waanze kumpuuza tu.
Watu hawawezi kumpuuza wakati akiwa ni Rais.Ni kweli!
Kwenye PR ya hili janga, jamaa anachemka sana.
Nakubaliana na observation yako.
Ndo maana nimependekeza watu waanze kumpuuza tu.
Watu kumpuuza siyo rahisi. Watanzania wenye upeo wa kumpuuza ni wachache. Nilishangaa sana juzi jamaa mmoja ananimbia ''kwani unafikiri dawa ya corona hakuna? Hukusikia rais anasema kuna dawa inaitwa Covido na hata madaktari wanaitumia?'' Na kweli kuna siku rais alitaja na kusema hata madaktari wakiugua huitumia. Na huyo aliyesema hivyo ni mwalimu mwenye upeo mzuri tu.Ni kweli!
Kwenye PR ya hili janga, jamaa anachemka sana.
Nakubaliana na observation yako.
Ndo maana nimependekeza watu waanze kumpuuza tu.
Akikuambia ujichokonoe matakoni na dole gumba lako halafu ulilambe, utamsikiliza au utampuuza?Watu hawawezi kumpuuza wakati akiwa ni Rais.
Eh, basi shauri yao.Watu kumpuuza siyo rahisi. Watanzania wenye upeo wa kumpuuza ni wachache. Nilishangaa sana juzi jamaa mmoja ananimbia ''kwani unafikiri dawa ya corona hakuna? Hukusikia rais anasema kuna dawa inaitwa Covido na hata madaktari wanaitumia?'' Na kweli kuna siku rais alitaja na kusema hata madaktari wakiugua huitumia. Na huyo aliyesema hivyo ni mwalimu mwenye upeo mzuri tu.
Tatizo lake kubwa kabisa hataki kuwa proved wrong. Chochote na lolote alifanyalo ''yuko sahihi''. Ni mtu mwenye mentality ya ajabu kabisa. Akisema ''ni mapanya'' basi ni mapanya. Nina wasiwasi huenda kwenye suala la corona kuna mtu kama Gwajima ''anampeleka kingi''. Youtube kuna clip yenye mahubiri ya Gwajima kuhusu hatma ya ugonjwa wa corona na chanjo. Gwajima anawaambia waumini wake Tanzania na Magufuli wataibuka kidedea. Anasema raia wa mataifa makubwa watapanga foleni kuomba visa za kuishi Tanzania. Mtu kama ana muda aitafute youtube apate mshangao wa karne.Asivae yeye kama hapendi au hataki.
Na aache kuwanyanyapaa wanaovaa. Ni haki yao kuzivaa kama wanataka.
Kuna tofauti kati kukosoa na chuki,shida ya huyo jamaa ni Magufuli na si hayo makosa yanayofanywa na Magufuli hivyo hii corona inatumika tu na ndio maana kipindi kile cha kampeni aliachana na hizo lawama za corona na kujikita na kampeni na huko ndipo tulipojua kuwa kumbe jamaa tatizo lake ni Magufuli na corona ilitumika tu ila haikuwa shida kwake.@tz mbogo . Maghufuli ni Rais wa nchi na anawajibika kwa wananchi kwa shida zao zote. Hawezi kujitenga nazo . Labda kama hujui majukumu ya cheo hicho.
Pili kiongozi kukosolewa si uadui bali ni afya kwa uongozi wake. Naye hapaswi kuwafanyia uadui wanaomkosoa kwa sababu ni wajibu wao.
#No comment#Wanasifiwa sana na nani?
Kuwasikiliza Magufuli na Gwajima kuhusu corona ni kujitakia majanga tu.Tatizo lake kubwa kabisa hataki kuwa proved wrong. Chochote na lolote alifanyalo ''yuko sahihi''. Ni mtu mwenye mentality ya ajabu kabisa. Akisema ''ni mapanya'' basi ni mapanya. Nina wasiwasi huenda kwenye suala la corona kuna mtu kama Gwajima ''anampeleka kingi''. Youtube kuna clip yenye mahubiri ya Gwajima kuhusu hatma ya ugonjwa wa corona na chanjo. Gwajima anawaambia waumini wake Tanzania na Magufuli wataibuka kidedea. Anasema raia wa mataifa makubwa watapanga foleni kuomba visa za kuishi Tanzania. Mtu kama ana muda aitafute youtube apate mshangao wa karne.
Hilo unalijua wewe.Akikuambia ujichokonoe matakoni na dole gumba lako halafu ulilambe, utamsikiliza au utampuuza?
Kama wana akili na wanamsikiliza, basi hawana uti wa mgongo katika kusimamia ukweli!Hilo unalijua wewe.
Nijuavyo mimi ni kuwa wasaidizi wake hataki wavae Barakoa wakiwa naye, na hawavai. Hao sio watu wasiokuwa na akili.
Claimant bears the burden of proof for his musings!Do us a favor, "what's going on in the country"?
Disprove the doctor's "claims that the variant in Tanzania is the new strain..."; otherwise yours would be greater "preposterous musings" than the doctor's!
Kwahiyo wewe KICHWA CHAKO kinataka kusikia dawa za WAZUNGU TU?Dawa ikapatikana Hapa Tz na wakatangaza kwako ni upuuzi ila angesema mzungu ingekua sawa.HIZI NI AKILI ZA KIPUNGUANIWatu kumpuuza siyo rahisi. Watanzania wenye upeo wa kumpuuza ni wachache. Nilishangaa sana juzi jamaa mmoja ananimbia ''kwani unafikiri dawa ya corona hakuna? Hukusikia rais anasema kuna dawa inaitwa Covido na hata madaktari wanaitumia?'' Na kweli kuna siku rais alitaja na kusema hata madaktari wakiugua huitumia. Na huyo aliyesema hivyo ni mwalimu mwenye upeo mzuri tu.
Hapa umenena ukweli non spuriouslySuch is the circle of life!
Kwanza walio wengi tayari walishatangulia pre-COVID-19.
Ambao bado wako hai, umri wao ushaenda sana....70+. Ni senior citizens ambao wako kwenye makundi yaliyo na hatari ya kuukwaa na kufa.
Si busara kwa wao kutokuzingatia tahadhari za kujikinga.
Kuna tofauti kati kukosoa na chuki,shida ya huyo jamaa ni Magufuli na si hayo makosa yanayofanywa na Magufuli hivyo hii corona inatumika tu na ndio maana kipindi kile cha kampeni aliachana na hizo lawama za corona na kujikita na kampeni na huko ndipo tulipojua kuwa kumbe jamaa tatizo lake ni Magufuli na corona ilitumika tu ila haikuwa shida kwake.
Anataka kuprove kuwa huwa hakosei ili mjue alivo na nguvu; akikubali alikosea kusema korona haipo Tanzania maana yake yeye Ni dhaifu wakati ukweli yeye Ni mwanaume wa shoka Tanzania nzima Bara na Visiwani.Maswaliwali muhimu ni: anataka nini hasa. Ana lenga kupata nini juu ya msimamo wake huu?
Spinning doctors at work.Dr Minja Habari!! Nimewasikiliza mazungumzo yenu vizuri Sana. Mnatakiwa muelewe kuwa wizara ya afya na Rais wetu wamejitahidi sana kupambana na Covid. Tanzania ni nchi masikini. Haiwezi kufunga shughuli zake.Tutakufa njaa na tutafiriska.Aidha tusimsingizie Rais na serikali kuwa wanawapotosha watu. Hii issue kwa jinsi dunia inavyokwenda inafika mahali inabaki issue ya mtu binafsi. Wamekufa watu wakubwa. Je, na wao walishindwa kuchukua hatua? Hapana ni issue zao binafsi kushindwa kujikinga.Tusilaumiane.Wanaokufa marekani ni wengi kuliko wanaokufa Tanzania. Why Tanzania?
Statements Kama hizi mjue Zina repercutions zake na mojawapo Ni watu kushangilia RIP. Sasa endeleeni kuzitoa lakin watu watakoposhangilia mvumilie matunda ya statements zenu.Kukosa Corona angekufa njaa! Ndiyo maana yuko msitari wa mbele kuwatisha watu na Corona!!
Kwani siku hizi karne ya 21 taarifa huwa zinapatiksna wapi mazee?Anapoteza sifa kwa sababu anaongelea Mambo ambayo hana taarifa nazo ni Kama umemsoma mdau hapo juu kwa sasa tuna Tanzania mbili ya mtandaoni na halisi. Hiyo ya mtandaoni inatisha hata wewe hutatamani kuishi ambayo ndio inahadithiwa na kunadiwa na kina ngurumo .
Sasa kwanini aeneze habari zisizo sahihi eti kisha yeye ni mkimbizi wa nchi yenye amani
Kwani Tz mbongo anapomkosoa huwa hana hoja ?!.Kuna tofauti kati kukosoa na chuki,shida ya huyo jamaa ni Magufuli na si hayo makosa yanayofanywa na Magufuli hivyo hii corona inatumika tu na ndio maana kipindi kile cha kampeni aliachana na hizo lawama za corona na kujikita na kampeni na huko ndipo tulipojua kuwa kumbe jamaa tatizo lake ni Magufuli na corona ilitumika tu ila haikuwa shida kwake.
Usitutisheeeeeeee! RIP Maalimu Seifu!!Statements Kama hizi mjue Zina repercutions zake na mojawapo Ni watu kushangilia RIP. Sasa endeleeni kuzitoa lakin watu watakoposhangilia mvumilie matunda ya statements zenu.