Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Hatariiii !!! unaambiwa wameapa kutobumisha tena movie !
Lazima adhibitishe uhalali wa kuwa uhamishoni...vinginevyo wazungu wanamrudisha mzombe mzombe...!! Ni uhuni anafanya
Tunza maneno mjomba , Nape Nnauye aliyekuwa mgawa sare na vipeperushi vya ccm nchi nzima alionyeshwa bastola mchana kweupe kabisa .Lazima adhibitishe uhalali wa kuwa uhamishoni...vinginevyo wazungu wanamrudisha mzombe mzombe...!! Ni uhuni anafanya
Kiki gan sasa?Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
Kila kitu kwa kuwa kinahusisha zaidi ya mtu mmoja LAZIMA KIENDE KWA MAAGIZO kutoka kwa SPONSOR kwenda kwa Coordinator naye anaandaa Executors wa MissionLeo yametoka maagizo mawili!......Kumbe hawa majambazi wa utekaji huwa wanatoa maagizo!!
Maadam bado you hai anayo nafasi ya KUTUBU kwa kweli. Akawaombe msamaha wote aliyowakwaza na kuwakosea, Mungu atamsamehe na ataweza kuingia katika ufalme wa mbinguni. Amen.Hivi huyu muuaji ataenda Mbinguni kweli?o
Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
Mbona na cheo ameshajipa huko
Sawasawa mkuu!Kila kitu kwa kuwa kinahusisha zaidi ya mtu mmoja LAZIMA KIENDE KWA MAAGIZO kutoka kwa SPONSOR kwenda kwa Coordinator naye anaandaa Executors wa Mission
shetani anamungoja huko kuzimuHivi huyu muuaji ataenda Mbinguni kweli?o
Yule aliyemnyoshea bastola nape kama angekuwa kamanda cdm,angepotezwa mapema sanTunza maneno mjomba , Nape Nnauye aliyekuwa mgawa sare na vipeperushi vya ccm nchi nzima alionyeshwa bastola mchana kweupe kabisa .
Nimewahi nina laiki 6 hadi sasaUmechelewa pole sana jaribu uzi mwingine
We are going to do IT, nobody should think tz belongs to him,hii tz ni yetu zote periodSomething must be done!!
Hapana, majambazi wa utekaji hawatoi maagizo...wanapokea maagizo....Kumbe hawa majambazi wa utekaji huwa wanatoa maagizo!!