Another diploma college turned into a University

Bin Maryam,
Tanzania imekuwa na Assistant Medical Officers (AMO) na ndo mhimili ya huduma za afya- kwani madaktari baada ya kupata degree wamekimbilia SA na Botswana!

Singapore- naogopa kuilinganisha na Tz- tunaachana mbali mno! Ghana, Kenya, Uganda- ni fair kujilinganisha nao- kwa kuwa tunafanana fanana vile! Hata Tz na SA nasita kulinganisha!

Alan Greenspan ameelezea Phenomena ya Dutch Bonanza inayosema kuwa nchi zenye kutegemea rasilimali hazifanyi juhudi kufungua sekta nyingine. Wanakuwa na GDP kubwa na un-employment kubwa. Na moja ya nchi hizo ni Nigeria. Wanatumia mafuta kulisha watu, kujenga miji n.k

Nchi kama Singapore ambao hawana rasimali asilia wanatumia watu kujenga nchi na matokeo yake watu wanapata ajira.

Tanzania kwa sasa inapata mapato kutokana na madini na utalii. Tukitegemea madini na utalii kutupatia mahitaji yetu ya kila siku basi ajira kwa wanaomaliza shule zitakuwa za taabu kama ilivyo Nigeria au Ghana.

Lakini kama tutakuwa kama Singapore kwa maana ya kutumia workforce yetu kuleta maendeleo basi ajira zitapatikana na tusiwe na wasiwasi.
 
Alan Greenspan ameelezea Phenomena ya Dutch Bonanza inayosema kuwa nchi zenye kutegemea rasilimali hazifanyi juhudi kufungua sekta nyingine. Wanakuwa na GDP kubwa na un-employment kubwa. Na moja ya nchi hizo ni Nigeria. Wanatumia mafuta kulisha watu, kujenga miji n.k

Nchi kama Singapore ambao hawana rasimali asilia wanatumia watu kujenga nchi na matokeo yake watu wanapata ajira.

Tanzania kwa sasa inapata mapato kutokana na madini na utalii. Tukitegemea madini na utalii kutupatia mahitaji yetu ya kila siku basi ajira kwa wanaomaliza shule zitakuwa za taabu kama ilivyo Nigeria au Ghana.

Lakini kama tutakuwa kama Singapore kwa maana ya kutumia workforce yetu kuleta maendeleo basi ajira zitapatikana na tusiwe na wasiwasi.


Bin Maryam,
Turudi ktk mada- Tz ukilinganisha na hata Kenya kuna hii miaka ya AHM na BWM tulijisahau- we did not invest much in new Pullic Universities- we just converted colleges to Universities (Mkwawa, Chang'ombe, MUHAS, UCLAS, MU, MoCCOs e.t.c). Hii ina hatari yake- tutakosa middle level professionals! Hwa wenye degree tatizo wakishapata kama madktari- hulala mbele- ila middle level kama AMO, au wenye advanced diploma hubakia Tanzania.

Sasa wakati wa JK ameanzisha Dodoma- I think we need- onother public Universtity hadi 2010 wakati JK anamaliza. A University in Science and Technilogy- kama Kigali with projection of 30-40,000 students. Kama hatuna waalimu tuajiri hata toka nje kwa mda!
 
Bin Maryam,
Turudi ktk mada- Tz ukilinganisha na hata Kenya kuna hii miaka ya AHM na BWM tulijisahau- we did not invest much in new Pullic Universities- we just converted colleges to Universities (Mkwawa, Chang'ombe, MUHAS, UCLAS, MU, MoCCOs e.t.c). Hii ina hatari yake- tutakosa middle level professionals! Hwa wenye degree tatizo wakishapata kama madktari- hulala mbele- ila middle level kama AMO, au wenye advanced diploma hubakia Tanzania.

Sasa wakati wa JK ameanzisha Dodoma- I think we need- onother public Universtity hadi 2010 wakati JK anamaliza. A University in Science and Technilogy- kama Kigali with projection of 30-40,000 students. Kama hatuna waalimu tuajiri hata toka nje kwa mda!

Miaka ya AHM na BWM hatukujisahau. Walikuwa wanatumia 200 Millioni USD kwa mwaka kulipa creditors wetu. Na sehemu kubwa inatokana na deni aliloacha Nyerere.

Pesa zilizokuwa zinatumika katika masuala ya madeni zilikuwa ni zaidi ya mara 4 ya bajeti ya elimu na mara mbili ya bajeti ya afya.

Kikwete anajenga chuo kikuu sio kwa ujanja wake. Mwaka 2006 wafadhiri wamesamehe nusu ya deni. Kama wangesamehe wakati wa AHM au BWM nao wangefanya miradi hiyo. Lakini wameacha chuo huria.

Kuhusu middle level professional ni kupotezeana muda. Kwa mahitaji ya sasa tuongeze liberal arts college na university. Watu watoke na general knowledge na kuweza kutafuta kazi mbalimbali.

Mfumo wa sasa ambao watu wanaanza ku-specialize wakiwa High school unawafanya watu wahitimu wengi wa Tanzania kuwa SO RIGID.

Kuna chuo kinaitwa cha usafirisha, chuo cha maji, chuo cha ushirika, vyuo vya maendeleo. Title za vyuo hivi zinapatikana Tanzania tu.
 
Bin Maryam, sikatai kuwa tumeanza hivyo..!! Ila ukumbuke kuwa hata wazazi wetu walianza kwenda shule bila viatu, mababu zetu nao walikuwa hawavai nguo zaidi, ni vipande vya ngozi na maisha yakaendelea mpaka sisi tukazaliwa. Sasa haimaanishi kuwa hata maisha ya sasa yenye maendeleo ya hali ya juu, mtoto aende pale Azania Secondary au Jangwani Sec akiwa peku kisa tulianzia huko. Hizo ni historia ambazo zilikuwa relevant kwa wakati ule. Sasa tunaongea katika karne ya maendeleo ambapo hadi shule za international kama Academic, utakuta walimu wa primary wana digrii za Education (B. Ed). Kwa hiyo tusikariri. Swala la vyuo kuongezeka sikatai viongezeke, but serikali iwe makini. Kuna nchi za wenzetu, kama Marekani sasa hv watu wanasoma kwa kuangalia aina ya chuo. Sasa miaka 50 ijayo, wajukuu zetu wasije sema hv hawa mababu zetu walikuwa wanafikiria kweli kiasi cha kuanzisha bora vyuo badala ya vyuo bora..?? Kuna chuo kama IFM kiliwahi kutaka kuwa University, but wakashushuliwa kuwa hata walimu hamna..?? Then wenye akili zao pale IFM wakaonelea wachukue vijana wenye digrii kisha wawapeleke UK kusoma. Nafikiri baada ya miaka kadhaa IFM itakuwa na PHD holders wa kutosha then watakuwa na uwezo wa kukiita University. Sasa sio unaenda kwenye hivyo vyuo unakuta Principal kasoma sana ana Masters.

Ndugu Kishazi:

Nenda maktaba ya taifa, kule kuna kitabu: commonwealth universities prospectus. Chukua toleo la miaka ya 70 na 80 na angalia Idadi ya maprofesa kwa kila idara kutoka chuo kikuu cha DSM. Inaonyesha kabisa wenye PHd pekee yake walikuwa wa kutafuta. Lakini miaka ilivyokwenda maendeleo yalipatikana na idadi ikaongezeka.

Kwa mtaji huo vyuo vingine vina nafasi sawa ya kuendelea na vile vile vitaanza kama UDSM ilivyoanza.

Inaonekana bado mnafanya digrii ya kwanza kuwa dili kubwa.
 
Bin Maryam, sikatai kuwa tumeanza hivyo..!! Ila ukumbuke kuwa hata wazazi wetu walianza kwenda shule bila viatu, mababu zetu nao walikuwa hawavai nguo zaidi, ni vipande vya ngozi na maisha yakaendelea mpaka sisi tukazaliwa. Sasa haimaanishi kuwa hata maisha ya sasa yenye maendeleo ya hali ya juu, mtoto aende pale Azania Secondary au Jangwani Sec akiwa peku kisa tulianzia huko. Hizo ni historia ambazo zilikuwa relevant kwa wakati ule. Sasa tunaongea katika karne ya maendeleo ambapo hadi shule za international kama Academic, utakuta walimu wa primary wana digrii za Education (B. Ed). Kwa hiyo tusikariri. Swala la vyuo kuongezeka sikatai viongezeke, but serikali iwe makini. Kuna nchi za wenzetu, kama Marekani sasa hv watu wanasoma kwa kuangalia aina ya chuo. Sasa miaka 50 ijayo, wajukuu zetu wasije sema hv hawa mababu zetu walikuwa wanafikiria kweli kiasi cha kuanzisha bora vyuo badala ya vyuo bora..?? Kuna chuo kama IFM kiliwahi kutaka kuwa University, but wakashushuliwa kuwa hata walimu hamna..?? Then wenye akili zao pale IFM wakaonelea wachukue vijana wenye digrii kisha wawapeleke UK kusoma. Nafikiri baada ya miaka kadhaa IFM itakuwa na PHD holders wa kutosha then watakuwa na uwezo wa kukiita University. Sasa sio unaenda kwenye hivyo vyuo unakuta Principal kasoma sana ana Masters.

Watu wengine ni wataalamu wa KUBORONGA. Hivi ukuelewa nini nilichoandika.

The Hubert Kairuki Memorial University kimeanzisha mwaka 1997. Huu ni mwaka wa 10 na kinatoa digrii tena katika sayansi.

Dar Technical College imeanzishwa mwaka 1957. Huu ni mwaka wa 50. Pamoja na kutoa fabolous technicians and engineers, chuo kimeshindwa kuwa chuo kikuu na ni taasisi ya kwanza kutoa wahandisi ndani ya nchi.

Kama Hubert Kairuki Memorial University katika kipindi cha miaka kumi imeweza kutoka kuwa taasisi ya vichochoroni kuwa chuo kikuu, kwanini basi Dar Tech, IFM na vyuo vingine vishindwe? Ukiweza kujibu hilo swali, basi wajukuu wako hawatapata taabu miaka ijayo.
 
Wacha ubishi wa kijiweni..!! Kama hujaelewa mada uliza ueleweshwe. Swala kubwa hapa sio chuo kimeanzia kichochori au angani, issue ni resources interms ya watu. Tofautisha Hubert Kairuki na hivyo vyuo vingine. Kumbuka wakati kinaanzishwa marehemu (ambaye ndiye mwanzilishi) alikuwa Professor. Na palikuwa na Doctors hadi wa kuazima. Sasa wewe nenda kwenye hivyo vyuo unavyoongelea na u-assess elimu ya wahadhiri. Kwa sababu swala la university kuwa na status sio uzuri wa majengo tu, bali kikubwa ni resources za wahadhiri. Achana na vitu vingine kama space n.k.

Kukuelewesha manake inaelekea hujui, criteria za chuo kuwa university, among them ni Space au eneo kwa kiswahili (kitu kilichokibania chuo cha IFM), no of lecturers (I mean full lecturers sio Tutorial Assistants or Assistant Lecturers) wenye relevant elimu, technolojia ya kutosha na uwepo wa vifaa vingine vya muhimu n.k. Sasa angalia hivyo vyuo vyako vya uchochoroni halafu uniambie kama vinaqualify. Usiropoke kwa sababu umesoma ka-diploma au kikozi chako kwenye hivyo vyuo, ongea kama mtanzania mwenye upeo. Na kama una shule ya maana, utakuwa unanisikitisha sana kwa kutoelewa vitu vya kawaida kama hv.

Pia mdau mwingine aliongelea kuwa serikali ni vema ikaanzisha vyuo vipya. Nami kwenye posts zangu za nyuma niliongezea kuwa ilete wawekezaji rather than kupoteza muda na Buzwagi stuff. Kwa hiyo hizo colleges zibaki kuserve middle education kama diploma n.k. Kwa sababu kuna watanzania wengi wasiokuwa na uwezo wa namna moja au nyingine kujiunga direct na Universities. Kwa hiyo hivyo vyuo vinahitajika bado tena sana. Hata huko kwa wenzetu, nenda Hawaii utavikuta vicollege kama karanga, lengo likiwa ni kusaidia population ya watu walioshindwa au kukosa chance ktk vyuo vikuu.

Watu wengine ni wataalamu wa KUBORONGA. Hivi ukuelewa nini nilichoandika.

The Hubert Kairuki Memorial University kimeanzisha mwaka 1997. Huu ni mwaka wa 10 na kinatoa digrii tena katika sayansi.

Dar Technical College imeanzishwa mwaka 1957. Huu ni mwaka wa 50. Pamoja na kutoa fabolous technicians and engineers, chuo kimeshindwa kuwa chuo kikuu na ni taasisi ya kwanza kutoa wahandisi ndani ya nchi.

Kama Hubert Kairuki Memorial University katika kipindi cha miaka kumi imeweza kutoka kuwa taasisi ya vichochoroni kuwa chuo kikuu, kwanini basi Dar Tech, IFM na vyuo vingine vishindwe? Ukiweza kujibu hilo swali, basi wajukuu wako hawatapata taabu miaka ijayo.
 
Wacha ubishi wa kijiweni..!! Kama hujaelewa mada uliza ueleweshwe. Swala kubwa hapa sio chuo kimeanzia kichochori au angani, issue ni resources interms ya watu. Tofautisha Hubert Kairuki na hivyo vyuo vingine. Kumbuka wakati kinaanzishwa marehemu (ambaye ndiye mwanzilishi) alikuwa Professor. Na palikuwa na Doctors hadi wa kuazima. Sasa wewe nenda kwenye hivyo vyuo unavyoongelea na u-assess elimu ya wahadhiri. Kwa sababu swala la university kuwa na status sio uzuri wa majengo tu, bali kikubwa ni resources za wahadhiri. Achana na vitu vingine kama space n.k.

Kukuelewesha manake inaelekea hujui, criteria za chuo kuwa university, among them ni Space au eneo kwa kiswahili (kitu kilichokibania chuo cha IFM), no of lecturers (I mean full lecturers sio Tutorial Assistants or Assistant Lecturers) wenye relevant elimu, technolojia ya kutosha na uwepo wa vifaa vingine vya muhimu n.k. Sasa angalia hivyo vyuo vyako vya uchochoroni halafu uniambie kama vinaqualify. Usiropoke kwa sababu umesoma ka-diploma au kikozi chako kwenye hivyo vyuo, ongea kama mtanzania mwenye upeo. Na kama una shule ya maana, utakuwa unanisikitisha sana kwa kutoelewa vitu vya kawaida kama hv.

Pia mdau mwingine aliongelea kuwa serikali ni vema ikaanzisha vyuo vipya. Nami kwenye posts zangu za nyuma niliongezea kuwa ilete wawekezaji rather than kupoteza muda na Buzwagi stuff. Kwa hiyo hizo colleges zibaki kuserve middle education kama diploma n.k. Kwa sababu kuna watanzania wengi wasiokuwa na uwezo wa namna moja au nyingine kujiunga direct na Universities. Kwa hiyo hivyo vyuo vinahitajika bado tena sana. Hata huko kwa wenzetu, nenda Hawaii utavikuta vicollege kama karanga, lengo likiwa ni kusaidia population ya watu walioshindwa au kukosa chance ktk vyuo vikuu.

Hujachoka kutumia kipaji chako maarufu cha kuboronga.

Nilikupa swali na Dar Tech na Hubert Kairuki na ukashindwa kujibu.

Hubert Kairuki ni chuo binafsi ambacho kinafanya kazi kwa ushindani hili kiweze kufanya biashara zake. Hakipo pale kutoa huduma za kusomesha madaktari. Kipo pale kufanya biashara ya kusomesha madaktari.

Marehemu Dr. Omar (makamu wa rais), aliudhuria mahafali ya manesi kama mgeni rasmi akamuuliza Dr. Kairuki. Kwanini usifanye university. Dr. Kairuki akasema hiyo ni Idea Nzuri na aukupita muda university ikaanzishwa.

Kwa upande mwingine Dar Tech ni taasisi ya serikali. Na taasisi zote za elimu za serikali zinaendeshwa kwa sheria za bunge. Kuanzishwa kwa digrii Dar Tech inabidi kwanza maombi yapelekwe wizarani, wizara ikikubali yanapelekwa bungeni. Na hapo unajitokeza mlolongo wa ukiritimba na mipango ya bajeti.

Wakuu wa vyuo vingi wana Phd na wengine ma-profesa. Wana nafasi sawa kama Dr. Kairuki lakini mazingira ya kikazi ni tofauti. Kairuki alifanya katika sekta binafsi ambayo maamuzi yalitegemea ni jinsi gani business model yake ilitaka. Mkuu wa Chuo Dar Tech anategemea azimio la serikali. Kama serikali haitaki basi hakuna kinakachofanyika.

Kuhusu serikali kuleta wawekezaji kuanzisha vyuo vikuu hapo unaboronga BIG TIME. Unafikiri wawekezaji wanaokotwa. Kwani watanzania hawawezi kuzifanya shughuli hizo? Grow Up, na anza kujiita mwenyewe mwekezaji.
 
Mimi all initiatives kuanzisha (Kujenga) new Universities iwe private kama HKMU au public- naunga mkono! Hoja yangu.. kama nilivyopost hii thread- why convert existing colleges? Hii ndo taabu yangu!
 
Mimi all initiatives kuanzisha (Kujenga) new Universities iwe private kama HMKU au public- naunga mkono! Hoja yangu.. kama nilivyopost hii thread- why convert existing colleges? Hii ndo taabu yangu!

Katika mwanzo wake kulikuwa na tofauti kati ya mitaala ya college na university. College zililenga kazi. Ukienda chuo cha kilimo utajifunza kilimo. University kwa upande mwingine, kama neno Universal, ilitoa elimu ya jumla, kwa maana ya kuwa mwanafunzi alichukua utaalamu fulani na vitu vingine.

Kwa mfano mtu aliyechukua digrii ya kwanza kutoka university aliweza kubadili fani kwa haraka sana kutokana na jinsi elimu ya university ilivyomuandaa. Lakini mtu aliyemaliza uhasibu katika vyuo alipata taabu au kuanza upya pale alipotaka kubadili fani.

Kwa dunia ya sasa, kitu unachosomea sio lazima ufanyie kazi. Kwa mtaji huu elimu anayopata mwanafunzi ni lazima impe mwanafunzi flexibility katika soko la kazi. Na hapo ndipo elimu ya University inapokuwa na umuhimu mkubwa zaidi.

Kipindi cha aliyesomea sheria atakuwa mwanasheria na aliyesomea uhandisi atakuwa mhandisi kimepitwa na wakati. Hivyo kwa maoni yangu ni lazima vyuo vifanye transformation.
 
it was a good debate and i have nothing to comment. i appreciate what has been done and i think one day tanzania will have enough bold spirits i.e liberal, and leave away tumorous souls, i.e conservatives when Universities are many.

if we have many people with universal education we will be at a time to understand what other people say about our resources and put in castody the buzwagi contract draftsmen

ushindani wa vyuo ni muhimu, huoni sasa hivi angalau katika field ya sheria, mahakimu wanaridhisha, na hata madvocates wanalazimika kufanya vizuri ili wasirudishe nyuma vyuo vyao. mimi nimeshuhudia hilo. pia katika uhasibu, na udaktari.
 
Back
Top Bottom