Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
UKISOMA GAZETI LA ANNUR LA LEO, BASI WEWE KAMA MUISLAM UNAWEZA UKALIA NA UKAHUZUNIKA KABISA.
KAMA UPO SEREKALINI UNAWEZA UKAJIULIZA MARA 100 UNAFANYA KAZI HIYO KWA FAIDA YA NANI?
Mmoja ya waliokamtwa na sheikh Ponda amedai wamefanyiwa mambo ya kinyama mahabusu kwa kuvuliwa nguo zote.
Wamedai wamevuliwa nguo zote na kuwekwa Uchi mbele za watu.
Akizungumza na maelfu ya waumini wa msikiti wa mtambani siku ya kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam. amedai kwamba ni udhalilishaji mkubwa wamefanyiwa jambo amedai linazidi kumjenga chuki kwamba tz kuna UDINI mkubwa unaofukuta
amedai wamefanyiwa unyama huo huku wakikashifiwa dini yao na baadhi ya maofisa wa magereza
SOURCE: ANNUR YA LEO
KAMA UPO SEREKALINI UNAWEZA UKAJIULIZA MARA 100 UNAFANYA KAZI HIYO KWA FAIDA YA NANI?
Mmoja ya waliokamtwa na sheikh Ponda amedai wamefanyiwa mambo ya kinyama mahabusu kwa kuvuliwa nguo zote.
Wamedai wamevuliwa nguo zote na kuwekwa Uchi mbele za watu.
Akizungumza na maelfu ya waumini wa msikiti wa mtambani siku ya kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam. amedai kwamba ni udhalilishaji mkubwa wamefanyiwa jambo amedai linazidi kumjenga chuki kwamba tz kuna UDINI mkubwa unaofukuta
amedai wamefanyiwa unyama huo huku wakikashifiwa dini yao na baadhi ya maofisa wa magereza
SOURCE: ANNUR YA LEO