Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Katika Siasa za Tanzania, huwezi kuzizungumzia bila kutaja majina haya
Anne Makinda,Philip Mangula na Salim Ahmed Salim
Wanasiasa wengi wa sasa, wana mambo mengi ya kujifunza kupitia wanasiasa hawa wakongwe
Kwanza utulivu wao katika siasa, ni wanasiasa wasio na makeke kabisa,licha ya kuwa katika siasa kwa muda mrefu, hawajawahi kukubwa na kashfa yeyote kubwa, kama wanasiasa walio wengi wa siku hizi
Wapo wanasiasa wengine wenye sifa kama za hawa, lakini kwa upande wangu nimewafuatilia hawa kwa muda kidogo ki ukweli wana nidhamu ya hali ya juu sana katika siasa
Natoa wito kwa wanasiasa wengine kufuata nyendo za hawa wanasiasa wetu wakongwe
Anne Makinda,Philip Mangula na Salim Ahmed Salim
Wanasiasa wengi wa sasa, wana mambo mengi ya kujifunza kupitia wanasiasa hawa wakongwe
Kwanza utulivu wao katika siasa, ni wanasiasa wasio na makeke kabisa,licha ya kuwa katika siasa kwa muda mrefu, hawajawahi kukubwa na kashfa yeyote kubwa, kama wanasiasa walio wengi wa siku hizi
Wapo wanasiasa wengine wenye sifa kama za hawa, lakini kwa upande wangu nimewafuatilia hawa kwa muda kidogo ki ukweli wana nidhamu ya hali ya juu sana katika siasa
Natoa wito kwa wanasiasa wengine kufuata nyendo za hawa wanasiasa wetu wakongwe