Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Ndugu zangu nilikuwa napita kutoka Iringa mjini naelekea wilaya ya Ludewa, Jamani eneo moja la Luponde ambapo pana kiwanda na mashamba ya chai barabara imeharibika sana na magari kibao yamekwama hapo. Naomba niku ulize Spika unamawazo yapi kuhusu hii barabara? Hususani hiki kipande kilichopo ndani ya jimbo lako? Ambacho kinasumbua sana? Kila mwananchi ndani ya basi alikuwa analalamika sana dhidi ya muheshimiwa Au mnatimiza ahadi ya kanyaga twende?