Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Spika Mstaafu Anne Makinda, amekabidhiwa joho lake ambalo alikuwa akilitumia kama Spika wakati wa uongozi wake wa Bunge.
Anne Makinda ni moja ya Wabunge walioweka rekodi ya Wabunge waliokaa Bungeni kwa miaka 40 akiwakilisha Jimbo la Njombe Kusini.
Hili nimelistaajabu sikuwa nafahamu haya natamani kujua Njombe Kusini. Pakoje huenda ni kama Ulaya
Wenye picha tunaomba mshare nasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Anne Makinda ni moja ya Wabunge walioweka rekodi ya Wabunge waliokaa Bungeni kwa miaka 40 akiwakilisha Jimbo la Njombe Kusini.
Hili nimelistaajabu sikuwa nafahamu haya natamani kujua Njombe Kusini. Pakoje huenda ni kama Ulaya
Wenye picha tunaomba mshare nasi
Sent using Jamii Forums mobile app