Elections 2010 Anne Kirango Malecela amethibitisha hana ubavu Moshi Mjini!!

MovingForward

JF-Expert Member
Nov 10, 2009
489
49
Pamoja na kuahidi kuweka kambi moshi mjini, mpaka CHADEMA ing'oke, Anne Kirango Malecela amethibitisha kushindwa kwake!!. Kichwa kilichovimba kimepwaya ghafla.
 
pia na Ole sendeka alipiga kambi moshi pale pasua akipasua VITU bila mafanikio yoyote.
 
Anamaumivu mzee katoswa kule Dodoma... asingeweza kupata muda wa kwenda Moshi!! kwi kwi kwi kwi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom