Katika gazeti la Jambo Leo Mh. Anna Kilango amedai CDM hawawezi kuchukua jimbo akiwa bado hai.kwa maana nyingine yeye ni Mbunge wa Maisha wa Same Mashariki!!
Mama Kilango anajiamini nini wakati hakuna cha maendeleo alichofanya ktk jimbo lake la uchaguzi?
Mama Kilango anajiamini nini wakati hakuna cha maendeleo alichofanya ktk jimbo lake la uchaguzi?