Nashindwa kuelewa kwa nn hakwenda ila mke wa Erasto na hiyo familia walileteana figisufigisu nyingi baada ya Erasto kufariki. pmj na hayo haikuleta picha nzr kwake kuacha kutoa hata pole kwa familia.Ya kweli hayo?? Usikute pia watu wanachukulia hiyo weakness point ya familia ya Erasto na Mke wa Erasto kulipiza visasi vyao.. Huyu mke wa erasto for good sake hata kama yeye ndiye muuaji alitakiwa aende msibani.. Kutokwenda tayari ni doa kwake