Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,621
Mbona beki tatu mnamtoa katika equation.......beki tatu hapo ni miongoni mwa prime suspects.......maana alikuwa ni mtu wa mwisho eneo la tukio amabaye anaweza kutoa maeleMie sio mpelelezi lakini huyu mme wake inabidi aisaidie polisi nimefatilia huu uzi inaonekana kuna makusudi kabisa ya kupoteza muelekeo kwa kuingiza msiba ulotangulia wa kaka yake na huu huyu dada ili wauaji watembee salama.. Polisi wachunguze sana mie karata yangu bado iko kwa ex husband.. Inasikitisha sana kukatisha uhai wa dada akiwa bado mdogo kabisa !! Inaumaa.. RIP Anathe.
Mbona beki tatu mnamtoa katika equation.......beki tatu hapo ni miongoni mwa prime suspects.......maana alikuwa ni mtu wa mwisho eneo la tukio amabaye anaweza kutoa maelezo ...........Pumbavu sana hawa murderersMie sio mpelelezi lakini huyu mme wake inabidi aisaidie polisi nimefatilia huu uzi inaonekana kuna makusudi kabisa ya kupoteza muelekeo kwa kuingiza msiba ulotangulia wa kaka yake na huu huyu dada ili wauaji watembee salama.. Polisi wachunguze sana mie karata yangu bado iko kwa ex husband.. Inasikitisha sana kukatisha uhai wa dada akiwa bado mdogo kabisa !! Inaumaa.. RIP Anathe.