Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Mh Anna Tibaijuka anajenga nyumba ya kuishi Makongo juu ndani ya Hifadhi ya Barabara.Ni vema sasa ikajulikana nini hatma ya nguvu ambayo mama huyu amekuja nayo kwenye wizara hii.Tuwaelewe vipi hawa?