Anna Mghwira
R I P
- Mar 9, 2012
- 206
- 362
- Thread starter
- #281
Wapendwa wanajukwaa ni takribani miezi sita (6) tangu nilipoleta hoja za kuanzisha mfuko wa kusaidia kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, kuongeza idadi toka pale bodi ya mikopo ilipoishia.
Napenda kuwajulisha kuwa taratibu za kisheria na kiofisi zimekamilika, kutokana na majukumu yangu ya sasa ofisi itaendeshwana watendaji wafuatao Maryconsolata Shao kama mtendaji mkuu mwenye taaluma ya Microfinance, wakili Elizabeth Mamba kama mwanasheria wa kampuni pia Peter Shedrack kama mtaalamu wa ICT.
Kuna uhitaji mkubwa wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ukiachilia mbali ile inayotolewa na bodi ya mikopo, kuna akaunti namba ya kampuni katika benki ya crdb 0150294113400 karibuni kuchangia kama tulivyojadili huko nyuma.
Ahsanteni na Bwana awabariki kwa kutoa kwenu
Napenda kuwajulisha kuwa taratibu za kisheria na kiofisi zimekamilika, kutokana na majukumu yangu ya sasa ofisi itaendeshwana watendaji wafuatao Maryconsolata Shao kama mtendaji mkuu mwenye taaluma ya Microfinance, wakili Elizabeth Mamba kama mwanasheria wa kampuni pia Peter Shedrack kama mtaalamu wa ICT.
Kuna uhitaji mkubwa wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ukiachilia mbali ile inayotolewa na bodi ya mikopo, kuna akaunti namba ya kampuni katika benki ya crdb 0150294113400 karibuni kuchangia kama tulivyojadili huko nyuma.
Ahsanteni na Bwana awabariki kwa kutoa kwenu