Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Akiwa mkutanoni Singida amedai kuwa sheria inaruhusu na Rais anataka kutufanya nini tukisubiria matokeo?
Rais aitishe mkutano wa wenyeviti kujadili swala hilo.
My take; unaweza ukashangaa kwanini aseme hivyo, ukweli ni kwamba vyama vidogo huumizwa zaidi-inapotokea mwanya wa wizi wa kura kura za chama kidogo zitachotwa na kujazilizia chama kikubwa hivyo ni jambo zuri kwa ACT kupambana sambamba na UKAWA na wasijiweke mbali wataumizwa zaidi kwenye ubunge na udiwani hata Urais.
Rais aitishe mkutano wa wenyeviti kujadili swala hilo.
My take; unaweza ukashangaa kwanini aseme hivyo, ukweli ni kwamba vyama vidogo huumizwa zaidi-inapotokea mwanya wa wizi wa kura kura za chama kidogo zitachotwa na kujazilizia chama kikubwa hivyo ni jambo zuri kwa ACT kupambana sambamba na UKAWA na wasijiweke mbali wataumizwa zaidi kwenye ubunge na udiwani hata Urais.