jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Kwakuwa aliyetoa hoja kuwa waziri mkuu Pinda alilidanganya bunge kuhusu mgogoro uliosababisha mauaji ya wananchi pamoja na mkenya mmoja amerudishwa bungeni rasmi baada kushinda rufaa kwenye mahakama ya rufaa tz, Spika Semamba auweke ushahidi wa Kamanda Lema hadharani kwani watanzania tunauelewa ukweli ambao ndio aliusema Lema na Peter Kayanza Mizengwe Pinda alidanganya.
HATUHITAJI PROPAGANDA BUNGENI.
Wananchi mnasemaje!
HATUHITAJI PROPAGANDA BUNGENI.
Wananchi mnasemaje!