Anna Makinda: Sijawahi kuolewa ila tunakoenda wanawake watakuwa na nguvu kuliko waume zao

Wajameni sasa km ni hivo eti mama aliishi kisela!! miaka yooote mweee!!! kamchezo ka mambo yetu yale ya kusisimua nyongo ya mwili....Mama alikuwa anatoka kapa?? au tuseme alikuwa anamalizaje wajameni?? make yale bana hayanaga ujanja yale!!

hata uwe mbabe vepe!!! Sadamu Husein na ubabe wake wote, Malkia elizabeth na ujanja wake wote alikuwa anatulia na kumzalia Prince Philip! na alikuwa hasemi kitu anakuwa mpoleee!! hata wkt mwingine ile crown ya Malikia ya ukuu

Daa jamaa lilikuwa linazichazea tu!! mfano akitoka ofisini tu kabla hajala utasikia kikoromo '' kuja hukuuuu rete mambo hapahapa inatosha !! katajibu ''jamani phil...hutoshekagi tu?? asubuhi nimekupa na sasa tena?'' hayaaaa chukua!! ...

ndo ilikuwa michezo yao hiyo! tangu ujana wajamani! na kamzika juzi juzi hapa!! ila jamaa yule philip hakuchepuka hata!! ataanzaje kwanza.....na demu gani asiye jitaka huyo?
 
Wakina mama waojielewa wakisimama kuelekea malengo na ndoto zao mara nyi hufikia kwa mafanikio makubwa pasina kua na mwanaume nyuma yake.
 
ndugu nimekulia maisha mazuri ya kulala sehemu nzuri cjawahi shida njaa, mpaka nimekuwa mdada, na siwezi kushindwa kufanya jambo niteseke ati wakati m
Si kweli wanao kulia maisha mazuri hawajitambui kabisaaaaaaa!! eti ile hali ya kitajiri waliyomo wao!! wanaona ni shida hasa wanatamani maisha ya kimaskini kwa sababu hawajui kuyaishi.......

watakao jua kuwa maisha yao ni ya kitajiri ni wale watoto wa matajiri waliopelekwa mbali sana kwa ndugu wakorofi wakaishi huko kwa dhiki kuu tangu utoto then wakarudishwa kwenye familia zao tena za kitajiri hao ndo wata jua kuuumbe sisi matajiri!!

watauheshimu sana utajiri wa wazai wao!!

kwa hiyo watoto wa kitajiri wanapewaga shida maksudi na wazazi wao!! ili wakue wakijua shida some times hata kuliko watoto wa maskini!! hasa watoto wa kiume wawili wa kwanza lazima wapigike hasa utotoni!!

ukiona mtoto wa tajiri hajapigika sana!! basi jua kabisa hiyo ni nyumba ndogo ya tajiri!!, mara nyingi nyumba ndogo hawanaga urithi mzuri km wale wa nyumba kubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom