Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Jana niliwona ktk TV Spika Anne Makinda akiwa jimboni kwake akihutubia wananchi kwa kuwaambia kwamba waache mambo ya kushabikia siasa ama sivyo watakua masikini. Alisema siasa zinapaswa kufanywa wakati wa uchaguzi tu - yaani kila baada ya miaka mitano basi.
Miaka mingine kusiwepo siasa ama sivyo watakufa masikini. Nina hakika kuna wengine walimsikia vizuri Zaidi kwani mie nilimuona ktk TV kidogo tu akiwa anamalizia hotuba yake.
Swali: anaogopa nini kuwepo jukwa la siasa jimboni mwake hadi kuwatisha na kuwadanganya wananchi wake?
Miaka mingine kusiwepo siasa ama sivyo watakufa masikini. Nina hakika kuna wengine walimsikia vizuri Zaidi kwani mie nilimuona ktk TV kidogo tu akiwa anamalizia hotuba yake.
Swali: anaogopa nini kuwepo jukwa la siasa jimboni mwake hadi kuwatisha na kuwadanganya wananchi wake?