Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
hapa kazi ipo, kamati ya siasa ya CCM ni nini hadi iamue makao makuu ya wilaya mi nadhani watu wote wa Njombe ndiyo waamue kama kuna utata basi kura zipigwe
Luhanjo, Lwenge waamini wazi kuwa cheo ni dhamana na siyo rungu au kuonyesha kuwa wao ni mwarobaini wa watu wa Njombe.
Spika makinda atofautishe bunge la kabla ya SS, bunge la SS, bunge lake ajue kuwa SS ndiye aliye fanya bunge liwe na mvuto kwa watu na alikuwa na ngozi ngumu ktk siasa za maji taka.
Luhanjo, Lwenge waamini wazi kuwa cheo ni dhamana na siyo rungu au kuonyesha kuwa wao ni mwarobaini wa watu wa Njombe.
Spika makinda atofautishe bunge la kabla ya SS, bunge la SS, bunge lake ajue kuwa SS ndiye aliye fanya bunge liwe na mvuto kwa watu na alikuwa na ngozi ngumu ktk siasa za maji taka.