Ann Romney Might Be Taking This Loss Harder Than Mitt

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
If you're wondering how the Romney family is holding up post-election loss, the answer is: not well. Mitt has resorted to retail therapy, and Ann might be the most disappointed Romney of all.

But the owner of the most tragic anecdote in the whole story is Mitt's wife, Ann, who really isn't taking things well
:

By all accounts, the past month has been most difficult on Romney's wife, Ann, who friends said believed up until the end that ascending to the White House was their destiny. They said she has been crying in private and trying to get back to riding her horses.

It's not too much of a surprise, really. She had enough trouble dealing with the campaign. Still, we feel for her, and wish her and her horses the best. It gets better.

RELATED: Without Debates, We'll Only Have Aspirin Jokes and Coal Mines
 
Tatizo kubwa ni kuwa Romney aligombea cheo hicho kwa muda mrefu na kushindwa zote; safari hii akishindwa katika ngazi ya mwisho ambayo haitaruhusu marudiao tena. Niliwahi kuandika hapa JF (nitatafuta post hiyo pole pole) kuwa kuna rekodi ya kutosha kuonyesha kuwa mtu anayeng'ang'ania kuchaguliwa kuwa rais hugeuka kuwa janga la taifa kama alivyosema Nyerere kuwa ni kama Ukoma! Tumeshuhudiajinsi Kikwete alivyojiandaa kwa miaka kumi na kuja kuwa janga, sasa hivi nasikia kuwa tuna Lowassa aliejiandaa kwa miaka ishirini sijui itakuwaje. Iwapo watanzania tunegkuwa na akili za kuwakaribia wenzetu wamerkani basi ni wazi kuwa watu wa aina hiyo tusingewapa kura hata siku moja. Rais Nixon ndiye rais wa mwisho marekabi kugombea mara nyingi hadi akashinda na baadaye akageuka kuwa tatizo kwa nchi.
 
Now Mr Romney can go ahead and amend his tax return for the 2011 year to get more deductions that will land him in the 13% rate while I pay about 30%.
 
Mitt Romney was running his campaign base on lies and weaken economy the thing is economy has started to show some improvement and the American people knows it will take some time to recover and also they knew if they could decide to elect mitt Romney America will go back to another George bush era since there is no much difference btw Romney and George bush on foreign policy ni vita Kwenda mbele sijui kwa nyumbani tanzania Kama wapiga kura wanaweza kuchambua mambo haya na kuweza kuchagua rais na wabunge wenye uwezo wa kutupeleka kwenye promise land au pengine hata wanapochagua viongozi wanaowataka ccm wanachakachua kwani siasa za Africa Chama tawala ndicho chenye kushikilia dola zote polisi,mahakama, na usalama Leo hii tunakuwa na raisi anayeshauliwa na usalama wa taifa! Na kuteuwa majaji wenye kughushi hata umri na Sio Hilo tu inasemekana hata kuandika barua ya kidhungu ni tabu Kama itatokea katiba wanayoitaka watanzania na chaguzi huru na haki, Kama ikitokea maamuzi yafanywe na majaji definitely ccm watashinda kwani majaji watakuwa wanalipa fadhila na hii imekwishatokea Uganda uchaguzi kuamuliwa na majaji ambao walimrudisha tena Museveni ambaye yupo madarakani kwa zaidi ya miaka 20 hizi ndizo siasa zetu waafrika kwa Hali hii Kama hakutakuwa na mageuzi ya kweli ya siasa waafrika tutaendelea kuitwa bara la Giza na Hakuna wakutuletea mwanga uwe wa mshumaa, koroboi au bulb isipokuwa sisi wenyewe tumeona Arab springs.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom