Ukita source nenda ulaya ukabebe boksi halafu namba yako wape ndugu, jamaa na marafiki. Utajua kama kweli sisi waafrika tunaomba au laa. Na ukipata kufika huko ulaya fungua account ya Facebook weka picha kila utakachovaa nahakikisha nitakiomba pia. Au ushamsahau yule aliekuwa anatembea na kopo la ombaomba kila akiwia pipa? (Ombaomba wa ikulu)Source? Japo nakubaliana moja kwa moja na hoja iliyotolewa.
Alisema anapanda pipa kwenda kuhemea ili watoto wapate chakulaUkita source nenda ulaya ukabebe boksi halafu namba yako wape ndugu, jamaa na marafiki. Utajua kama kweli sisi waafrika tunaomba au laa. Na ukipata kufika huko ulaya fungua account ya Facebook weka picha kila utakachovaa nahakikisha nitakiomba pia. Au ushamsahau yule aliekuwa anatembea na kopo la ombaomba kila akiwia pipa? (Ombaomba wa ikulu)