Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Mapoint matupu!ahsanteniUnajua kila mtu anafanya ujana, Ila wengi hufanya kisiri Siri na maisha kuendelea ikiwemo na hyo shule, sasa huyu mapema anajiweka cheap kutoka na kina rayvan soko lenyewe liko saturated ka Nini, na yeye kajiona kafika na watu wamwonea wivu, nikikumbuka enzi za wema sepetu alivo kuwa hot cake in town alichezea ujana sasa hivi hana mbele Wala nyuma na madanga yamekula corner zao.
Hata huyo kajala mambo magumu ndio maana anajiachia kutafta market
Elimu ndio kila kitu especially umri ukisogea, aangalie akina Joyce Temu na JoJo kama unavyosema au wengi tu akina Sylvia Bahame etc walipoacha ujana elimu zimewabeba sana.
Kajala ni shuleless na anampoteza mwanae kweupe kabisa wakati yeye ameshaona effect ya kutoweka akiba ya elimu .
Binti anaweza kuendelea na mambo ya ujana sababu umri unamruhusu Ila isimfanye apoteze thamani yake kwa kufanya ujinga na kuishia kwenye bongo muvi especially sasa wanataka kuanzisha reality show yao ambayo maana yake binti ndio shule baibai.
Well, wacha aiuze maana wadau tupo na nakavizia kashuke bei kidogo sasa hivi mambo ya kupelekana Dubai tunawaachia wenye viherehere kwanza.
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app