iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Hali inaonyesha kwamba baadhi ya kampuni sasa zimelemewa na hali ngumu ya uchumi na sasa zimeamua kupunguza wafanyakazi ili kudhibiti hasara kubwa wanayopata.
Kampuni hizo zimekuwa zikiandika barua kwa unyonge mkubwa kwa watumishi wake,na kuwaeleza kwamba hazina jinsi nyingine,bali tu kuwarudisha nyumbani japo zinawahitaji.
NB: Watarudi kuishi vipi na familia zao? watalipaje kodi za nyumba na bili mbalimbali? je nchi sasa ni rasmi iko kwenye recession na hakuna austerity measures(njia za kudhibiti uchumi usizidi kuporoma)
View attachment 4
Na hii imo japo ni ya serikali.
==========
UPDATES;
TSN yakanusha hii habari ya kupunguza wafanyakazi wake. Kwa habari zaidi soma=>TSN kupunguza wafanyakazi kuanzia Novemba 30, 2016? Kampuni yakanusha