nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
Ngoma umepiga wewe, gitaa wewe, kuimba wewe, na kucheza wewe mwenyewe! Du !Uchaguzi unakaribia watu hawataki kuvunja katiba wanamsubiri alivunje bunge waanze kumrarua kutoka pande zote.
Sio ndani ya vyombo vya usalama,
Sio ndani ya ccm wala ndani ya upinzani wote watapeleka mashambulizi juu ya hoja za Usalama wa taifa na utekaji wa watu, kuanguka kwa Uchumi, Ajira kwa vijana je amejipanga kuzuia ili gharika? wakina bashite wana msaada wowote?
Eti anakubalika kama anakubalika kwa nini anabana wapinzani ndani ya chama na nje?
Eti anapendwa sasa nawaambia subiri muone anavyopendwa ndani ya systemu ya nchi.
Nashauri aanze kufungasha vilago kwenda chato.
Nyuma ya Keyboard!!Mie nawaambia wapinzani wasikubali kuwaza yale CCM wanataka wawaze, ni kukomaa tuu na Tume huru ya uchaguzi na sio kuwaza mengine.
Kilichopo ni msimamo wa wazi KUANZIA SASA kuwa hakuna Tume huru hakuna uchaguzi.
Full stop!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakurya sio majasiri ni watu wenye ubabe usio na faida. Mtu wa mwisho kuwa jasiri katika ardhi ya nchi hii ni Chifu Mkwawa, baada ya hapo tumebakia sisi waoga tu.You are very right! Angalau wakurya wanajaribu kuwa majasiri, siyo wengine!
Personal outlook! Huwezi kuwa na ubabe kama wewe siyo jasiri!Hata wakurya sio majasiri ni watu wenye ubabe usio na faida. Mtu wa mwisho kuwa jasiri katika ardhi ya nchi hii ni Chifu Mkwawa, baada ya hapo tumebakia sisi waoga tu.
Uchaguzi unakaribia watu hawataki kuvunja katiba wanamsubiri alivunje bunge waanze kumrarua kutoka pande zote.
Sio ndani ya vyombo vya usalama,
Sio ndani ya ccm wala ndani ya upinzani wote watapeleka mashambulizi juu ya hoja za Usalama wa taifa na utekaji wa watu, kuanguka kwa Uchumi, Ajira kwa vijana je amejipanga kuzuia ili gharika? wakina bashite wana msaada wowote?
Eti anakubalika kama anakubalika kwa nini anabana wapinzani ndani ya chama na nje?
Eti anapendwa sasa nawaambia subiri muone anavyopendwa ndani ya systemu ya nchi.
Nashauri aanze kufungasha vilago kwenda chato.
Asubuhi nilimweleza tindo utoto wa nyuzi hizi, nadhani alinifahamu. Hii makala nitakubaliana nayo iwapo wewe unampigia kampeni Magufuli! Kama ni Chadema basi utakuwa na matatizo kichwani kwani unampigia kampeni JPM bila kujielewaUchaguzi unakaribia watu hawataki kuvunja katiba wanamsubiri alivunje bunge waanze kumrarua kutoka pande zote.
Sio ndani ya vyombo vya usalama,
Sio ndani ya ccm wala ndani ya upinzani wote watapeleka mashambulizi juu ya hoja za Usalama wa taifa na utekaji wa watu, kuanguka kwa Uchumi, Ajira kwa vijana je amejipanga kuzuia ili gharika? wakina bashite wana msaada wowote?
Eti anakubalika kama anakubalika kwa nini anabana wapinzani ndani ya chama na nje?
Eti anapendwa sasa nawaambia subiri muone anavyopendwa ndani ya systemu ya nchi.
Nashauri aanze kufungasha vilago kwenda chato.
Hata wakurya sio majasiri ni watu wenye ubabe usio na faida. Mtu wa mwisho kuwa jasiri katika ardhi ya nchi hii ni Chifu Mkwawa, baada ya hapo tumebakia sisi waoga tu.
Uchambuzi mzuri, maana hawa wanaCCM wanaogopa vitu viwili yaani CCM mpya itakayowatosa na ushawishi wa CHADEMA.
Mbunge wa CCM hana uhakika kama CCM chini ya kina Polepole itawarudisha kugombea kwa tiketi ya CCM na hapo hapo wanaogopa nguvu ya umma ya CHADEMA.
Sikiliza huyu Mzee wa CCM iliyopita anayejitayarisha kugombea kule Bunda, Musoma anavyoiogopa CHADEMA huku pia moyoni hana uhakika na CCM mpya ya awamu ya tano:
CHADEMA LAZIMA TUITAJE TAJE - Wasira
Akithubutu kuhudia uhuni walioufanya kwenye chaguzi za TAMISEMI ndo atajua kwa hakika watanzania si wajinga. Wacha athubutu aone.Tech, wapinzani wasisubiri hilo, wadai tume huru ya uchaguzi! Hili ni muhimu. Wakifanya kama uchguzi wa serikali za mitaa unafanyaje? maana bado atakuwa na madaraka pamoja na kuvunja bunge!
Hakuna mtu muoga duniani kama Mtanzania. Hakuna kitakachofanyika.
Hizi ni ndoto za Alinacha. Mpaka wewe umejua unadhani bado ni mkakati?Uchaguzi unakaribia watu hawataki kuvunja katiba wanamsubiri alivunje bunge waanze kumrarua kutoka pande zote.
Sio ndani ya vyombo vya usalama,
Sio ndani ya ccm wala ndani ya upinzani wote watapeleka mashambulizi juu ya hoja za Usalama wa taifa na utekaji wa watu, kuanguka kwa Uchumi, Ajira kwa vijana je amejipanga kuzuia ili gharika? wakina bashite wana msaada wowote?
Eti anakubalika kama anakubalika kwa nini anabana wapinzani ndani ya chama na nje?
Eti anapendwa sasa nawaambia subiri muone anavyopendwa ndani ya systemu ya nchi.
Nashauri aanze kufungasha vilago kwenda chato.
Yani mnakumbuka shuka kumekucha?Mie nawaambia wapinzani wasikubali kuwaza yale CCM wanataka wawaze, ni kukomaa tuu na Tume huru ya uchaguzi na sio kuwaza mengine.
Kilichopo ni msimamo wa wazi KUANZIA SASA kuwa hakuna Tume huru hakuna uchaguzi.
Full stop!
Sent using Jamii Forums mobile app
atafanya hivyo maana anajua fika kuwa kwa uchaguzi wa haki hapiti!Akithubutu kuhudia uhuni walioufanya kwenye chaguzi za TAMISEMI ndo atajua kwa hakika watanzania si wajinga. Wacha athubutu aone.
Sent from my iPhone using JamiiForums